Ila wewe naye kwanini uanze kutafuta kupata messages za mtu mwingine bila yeye kujua, unafahamu kuwa ni kosa kisheria lakini pia ni tabia mbaya? Imagine wewe ujue kuna mtu anapaya sms zako bila wewe kujua utajisikiaje? Nway malipo ni hapa hapa duniani, umeshalipwa tayari nakupa pole ila naamini...
Ipo siku utakosa wa kukupigia napo utalalamika. Ndugu yako anaonyesha upendo muheshimu ila mzuie asiendelee kukuambia mambo ya kimbeya.
Ujue hata wewe kuna mtu unamkera ila anashindwa kukuambia hivyo hivyo kama ambavyo wewe unashindwa kumwambia huyo ndugu yako. Hivyo mvumilie kama ambavyo na...
Kama mada inavyojieleza hapo, kwa wae ambao bado ni watumiaji wa barua pepe za Yahoo naona leo mtandao huo umegoma kabisa kufunguka...nimeona hili tatizo kwa watu kama wanne hapa ofisini.
Wajuzi wa haya mambo tufahamisheni wapi kuna tatizo
Kama binadamu wengine wakiwa kwenye shida tunaweza kumchangia/kuchangiwa....ila tujiulize Kuna watu wangapi wenye shida Kama yake wapo hospitali na hakuna mtu wa kuwasemea. Besides Hawa wasanii na watu mashuhuri wanapopata shida wanakuwa wa kwanza kuja mitandaoni kuomba msaada wa matibabu lakini...
Habari ya muda huu na usiku huu mnene. Bukoba tena. Tetemeko lililodumu kwa takribani dakika moja na nusu limepita muda huu mjini bukoba. Baadhi ya wananchi ambao bado tunakumbuka ya tarehe 10/09/2016 tumejikuta tukikimbia nje na watoto wetu. Sasa nimeanza kuamini bukoba sio salama sana kwa...
Habari ya muda huu na usiku huu mnene,
Bukoba tena. Tetemeko lililodumu kwa takribani dakika moja na nusu limepita muda huu mjini Bukoba. Baadhi ya wananchi ambao bado tunakumbuka ya tarehe 10/09/2016 tumejikuta tukikimbia nje na watoto wetu.
Sasa nimeanza kuamini Bukoba sio salama sana kwa...
Wadau wa nyimbo za dini za jamani nimewahi kuuliza hawa jamaa wa Upendo Group mbona siku hizi siwasikii. Wamekwenda wapi hawa jamaa. Please mwenye kujua naomba nifahamishwe. Nyimbo zao nimekuwa nikizipenda sana kuzifuatilia lakini siku hizi hawasikiki sasa sijui walivunja group ama imekuweje...
Nadhani tusiwalaumu Bodi ya mkopo kwa kutukata 15%. Hii sheria imepitishwa na kuidhinishwa na wabunge wetu hawa hawa ambao tumewachagua Hivi karibuni tu. So Bodi ya Mkopo wanatekeleza sheria. Mimi pia ni mhanga wa hilo. Inauma sana.
Bukoba hatuna amani kabisa maana tetemeko dogo limepita tena mida hii.
Watu tumetoka nje na watoto, kiukweli hakuna amani kabisa.
=======
September 10 2016 lilitokea tetemeko la ardhi Kagera kanda ya ziwa Tanzania lenye kipimo cha 5.7 na kusababisha vifo vya watu 16 na wengine zaidi ya 100...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.