Unafundishwaje uzalendo wakati wafundishaji wote ni wezi na mazulumati?
Kila kitu wanakupora! Uchaguzi...kodi...afya...elimu...uhai... maendeleo...rasilimali...
Makonda Paulo Albert Bashite ni tapeli tu kama wengine waliopitia uvccm.
Kama Mpina anahofu namba moja aliwahishwa akhera, yeye Bashite ni nani hadi ishindikane?
Ogopeni ma-populist kama kina Bashite!
NB: Anakoelekea atawataja kwa majina wote aliowadhulumu haki ya kuishi!
Washauri wa SSH wanampotosha sana. Ana fursa kubwa sana ya kukitanza Kiswahili na akawa comfortable kwenye hotuba zake kulikoni matumizi ya English yanayomfanya aonekane hajui kuhutubia!
Yaani umeandika kama vile hukai Tanzania.
Nakuapia... Mafuriko kule down stream yataendelea kuwa mabaya zaidi... Make hata hayo unayoita mabwawa ya kufugia samaki nayo yakijengwa yatapasua kingo! Why wali-ignore kujenga hayo mabwawa kwenye original design ya JNHP?
Msilete siasa siasa zenu za...
Inafikirisha sana...
Anaitwa CDF Francis Omondi Ogolla... Usikute wamemtanguliza! Kenya ni wazoefu sana kwenye hayo mambo ya helicopter crashes... Robert Ouko... George Saitoti et al
Upo sahihi...
Lakini zaidi ya UGONJWA kwa sasa ujinga huo unawalipa vizuri sana wanaoufanya!
Watu wanaseminishwa kabisa jinsi ya kusifia! Na mafungu yanatolewa!
Kuhusu kauli ya mtoto wa Lowassa nadhani alikuwa sahihi. Inawezekana SSH personally alijitoa kuhakikisha Lowassa anapewa huduma stahiki kwa wakati!
Lakini inafikirisha sana kuona picha ya SSH ikitumika kwenye mabango yaliyotandazwa kwenye shughuli ambazo hata yeye hayupo!
Inafikirisha zaidi SSH...
Sikiliza ndugu... Miradi mikubwa ya mabwawa inapingwa kote Duniani na watu wenye uelewa wa hatari kama hizo!
Tatizo lenu nyie mipango yenu ikipingwa mnaichukulia personal!
Wanasayansi waliwaambia wazi wazi kuwa Bwawa na JNHP ni hatari kwa downstream users. Lakini nyie mlishupaza mashingo yenu...
Kwa kuwa si dalali...
Kwa kuwa ni nabii...
Itapendeza sana akianzisha Chama chake!
waTanzania wengi watakuwa nyuma yake!
Tafadhali mwambie ahame haraka sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.