Hili la kuwaita 'wakimbizi' bi. mkubwa hapa kachemka...au shule yake ya superglue nini? Nashangaa mtaalamu wa international relations wa chadema (saanane) haongelei hili
So called mtoto wa mkulima anapanda jukwaan...mkuu wa wilaya anampa zawadi i.e kondoo, ndama, kinyago cha faru, mgorori....zawadi nyingi sana magunia ya vitunguu, mbaazi,....anasema karatu hoyeeee mikono kuu, kikwete juu. Anasema haijapata kutokea. anamkaribisha Natse jukwaani Natse anaanza na...
ole sendeka anapanda jukwaani....anaanza kwa utani kidogo. Anawapongeza karatu kwa maendeleo ya kila sekta apa anaquote vitabu vitakatifu. Pia anawapongeza watu wa karatu kwa uelewa kwa vile hawajawahi aandamana. Anasema kazi ya mbunge ni kuwa kipaza sauti cha wananchi....anaingiza utani kwa...
sasa anapanda jukwaani kassimu Majaliwa. Anasema karatu imeongoza kwa idadi ya watu waliokuja kumpokea pinda. Anasema kitaaluma karatu imepitiliza lengo la serikali. Anasema mpaka kufikia mwenzi wa 11 tatizo la elimu litakuwa historia. Anatamka banjuki badals ya banjika.....anasema vitabu vingi...
sasa Nyalandu anaisifia karatu kuwa ni mji mdogo wenye hoteli nyingi za kitalii. Anasema mji wa karatu unakuwa kwa kasi. Anahimiza vijana wajifunze kichina, upishi na tour guide. Anasema karatu inajitahidi kupambana na ujangili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.