I mean unapata ufahamu na kujielewa kabisa kuwa hapa nilipo ni ndani ya ulimwengu wa ndoto wala si uhalisia
Unafanya unachotaka, unakwenda unapotaka, pia unadumu ndani ya ndoto hiyo kwa muda mrefu zaidi
Jamani, mliowahi kupata hizo ndoto mlifanyaje fanyaje? Natamani ila nashindwa. Tupeni mbinu...
Hata maandiko matakatifu yanatukumbusha kusameheana saba mara sabini. Wanaume mjifunze kutoka kwa yale yaliyomkuta mchungaji. Mbona yeye kasamehe? Kwani yeye si mwanaume kama mlivyo ninyi?
Fikirieni mara mbilimbili kipi kitakachoikumba familia yenu baada ya kuchukua hatua ya kuachana. Vipi...
1. Alinilipia deni la vitabu viwili vilivyoibiwa nikiwa kidato cha pili mwezi wa 11 bila ya mimi kumfahamu. Nikiwa kidato cha tatu niliibiwa begi na vitabu ndani yake, wakati nimefikishwa staff natishiwa adhabu, alikuja na vitabu vipya viwili na kumkabidhi yule mwalimu. Mwalimu akamuuliza...
Walichokifanya hawa watu jaman[emoji24][emoji24]
Nimeweka salio la 500 nijiunge MB wakasema siwezi unganishwa, kuuliza salio naambiwa una 481 Tsh. Hapo sijampigia mtu, sijawasha data. Sasa hiyo kazi ya kusafiri maili mia kufuata vocha zao niitoe wapi
Nimejaribu Bufee, eti MB za 480 Tsh ni 175...
Hello,
Nimerejea tena jukwaani baada ya ban la wiki tatu [emoji23] hakika niliwamiss sana[emoji18]
Nahitaji kufanya biashara ya kutengeneza juisi, kuzi pack na kuzisambaza madukani kwa oda maalumu. Juisi zenyewe ni za matunda hayahaya asilia. Mtaji ninao tayari! [emoji126][emoji126]
Msaada...
Na unaowatumia je wana utofauti gani na mimi
Utakufa kifo kibaya wewe, nahisi una laana
Samahani kama ntakuwa nimekujibu vibaya, ila umentia hasira [emoji24][emoji24][emoji24]
Hello,
Kuna ile situation unajikuta tu tayari kishaumana na mtu ambae hukumhisia kuwa na tabia za kikubwa may be kutokana na cheo/wadhifa ama umri alionao [emoji4][emoji4] Yaani ambaye ulidhani hata kama mngefungiwa chumba kimoja usiku kucha kisingetokea kitu. Au mtu ambae kutokana na status...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.