Ni kweli hauhitaji madaktari?huwa unatibiwa wapi wewe na familia yako?sidhani kama unafahamu haki zako za msingi na wajibu wa serikali kwako wewe mwananchi
Hakuna sababu moja maalum inayoleta tatizo la mimba za umri mdogo kama huo kutoka. Nakushauri muonane na daktari,hasa wa magonjwa ya kinamama ili aweze kupata historia nzuri ya utokaji wa kila mimba na awezepata matibabu sahihi.
Inawezekana kabisa kupata mimba wakati wa kunyonyesha, apime tena akiwa na wiki 8 kama walivyoshauri wengine. Kuhusu kunyonyesha akiwa na mimba nalo pia anaweza kuendelea kama ataweza kula vizuri vyakula vitakavyomletea afya bora kwa ajili yake,mtoto anayenyonya na aliyeko tumboni(hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.