Yule kiongozi wa Hamas kule Gaza analalamika kuwa Israel wamekata supply ya maji, hali ambayo imepelekea akae mwezi bila kujitawaza kila apigapo kubwa hivyo ameiomba jumuiya ya kimataifa iingilie ili apate haki yake ya kujitawaza.
Muammar Gaddafi did express aspirations for Africa to embrace Islam to some extent. He promoted his vision of a united Africa under Islamic principles.
Also,
https://www.reuters.com/article/uk-religion-gaddafi-idUSL3059334720070330/
Mkuu, na wewe kwa asilimia nyingi sana, maana umeiweka vyema. Being a
Game of opinions ndiyo kinachoipa umasrufu football, kila mtu mitaani ana air out vile aonavyo inafaa, ingefaa au itakavyofaa.
Shida yangu ni pale mikadala inapohama kutoka mitaani na kuwekewa majukwaa yanayoihitaji watu...
Everything is subjected to opinions mkuu, na opinions zinaweza zikatokana na hisia/mapenzi, historia, uzoefu au elimu ya mtoa maoni n.k lakini uchambuzi hasa hiyo “detailed examination” it’s too deep, haiwezi ikatolewa kwa hisia, I hope hilo unalijua vyema.
Analysis ina vigezo vyake na ndiyo...
Chuo kinachunguza nini sasa? Ingekuwa mtu mwingine ndiyo ametoa tuhuma dhidi yao hapo ndiyo wangekuwa sahihi kusema wanachunguza. Hao wamekiri wenyewe kwenye media na ushahdi upo hivyo kinachopaswa ni kufanywa ni kuzifuta degree zao.
Ingekuwa ni taarifa iliyoandikwa au iliyokuwa reported...
Azam wanadhamini timu zote zinazoshiriki ligi kuu wakati wenyewe pia wana timu inayoshiriki ligi hiyohiyo wanayoidhamini.
Azam wanadhamini Azam confederation waksti wama timu insshiriki mashindano hayo.
Wanataka hizo timu zisipate wadhammini?
Wakawatadutie wadhamini wengine badala ya kulalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.