Wazo la leo: "Mwanaume mzima halalamiki barabarani, analalamika kitandani"
Huo ulikua ni msafara wa Makamu wa Raisi Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal aliyeweka jiwe la msingi kwenye barabara ya KIA-Mererani. Acheni umbea usio na tija.
Wazo la leo: "Mwanaume mzima halalamiki barabarani, analalamika kitandani"
Huo ulikua ni msafara wa Makamu wa Raisi Mhe. Dr. Mohamed Gharib Bilal aliyeweka jiwe la msingi kwenye barabara ya KIA-Mererani. Acheni umbea usio na tija.
acheni umbea Nyalandu hana uraia wa nchi mbili, nilikua naye mwezimoja uliopita akisafiri kuelekea marekani na alikua na passport ya Tanzania na alikua na viza ya kuingia nchi hiya kama mtanzania mwingine, kama ange kua anauraia wa nchi huyo basi asinge hitaji viza wala passport ya Tanzania...
"celebrating the daughters of Africa" is the theme of the black history celebrations 2012. Watanzania hebutu uuambie ulimwengu kwamba hata Tanzania kuna wanawake walio fanya maajabu na wana faa kusifiwa kwa juhudi zao....
Wana JF wajilishene kwamifano................:A S 465:
hii mahakama haieleweki kwasababu wapo wengi wanao fanya makosa tena makubwa lakini ni kama wanayafumbia macho ila wana toa hukumu kwa watu ambao ama hajakubaliana na matakwa yao au wataleta shida katika siku za usoni, tena sana sana ni wale watu wenye misimamo yao. Ni mangapi ambayo Moi...
Achene umbea sikweli,hakusema hivyo. kwanini mnamchafulia Nyalandu jina lake kwa mambo ambayo si ya kweli; kwani hamna kazi zakufanya badala ya umbea usio na maana. Watanzania wakiamua awe prezo 2015 atakua tu... Kazana nyalandu tuna kuunga mkono usikatishwe tamaa na wanafiki na wabea wasio na...
Kazina Nyalandu, kazi unayaifanya hatakama watu wakikubeza haisaidii kitu.
Acheni kupiga domo na majungu yasio na maana, Nyalandu anafanya kazi inayoonekana..........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.