Hivi broo unahofia Nini kuanzisha uzi wako utangaze biashara yako ya asali mbona jf ni jukwaa huru. Kipi unaogopa Hadi kudandia post za watu unaweka matangazo yako tumevumilia tumechoka. Huu upumbavu wa kuweka tangazo upo Sana Facebook Sasa naona umeamua kuuleta huku pia NCHABHILONDAA
Angalia Bei wakati wa kikwete katika bidhaa Kama sukari , cement na bati Kisha njoo fananisha Bei za bidhaa hizo wakati wa JPM utagundua bidhaa zingine zilipanda double kabisa , ila tatizo watu enzi za JPM mliweka ushabiki mkaacha ukweli Nsennah nafikiri upuuzi wa kujifanya hamkuona mfumuko wa...
Hayo Mambo ya vitu kupanda Bei Kama sukari, cement, bati nk tulipiga Sana kelele enzi za JPM mkasema tunatumiwa na mabeberu . Kitu Cha ajabu Leo hii vitu ambavyo tulivipigia kelele enzi za JPM Leo hii ndio mmepata akili ya kugundua. Nyie kwenu watu Walikuwa wakitekwa kwenu ni sawa tu , wakiuawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.