kufanya kazi chini ya mwarabu ni mtihani mkubwa mno!!!!,,,,,,,,ona dada zetu wanavoteswa huko arabuni,wengine kubakwa na hata kuuwawa au wengine wakijiua kabisa '"kwenye akili ya mwarabu yoyote yule m2 mweusi ni mtumwa"........
Aisee,mimi huu ni mwaka wa 3 sasa,,,ndo naanza kupona mdogomdogo!!!,,,,, yaani niliteseka kwelikweli!!!,kama unavosema,,,,,kama una ubongo wa kuku hutoboi,,,ni kweli kabisa!!
ukisoma "suratul ANFAR" utaelewa.....kuna sehemu wanasisistizwa" strke them hard,kill them,if thy are many i will make see them as few and you are few i will multiply you in their eyes"''''JIHAD!
Papa kama papa,ni taasisi,,hawezi kutoa tamko bila kukaa na washauri wake,wajadili ndo wapitishe,,,so kuniambia kwamba papa kama binadamu,huo ni uongo....huwezi kukaa ndani ya choo alaf ukafurahia chakula,,,,,,lazima usikie kinyaa,,,kwamsasa kanisa katoliki linatia kinyaa!!!
Wasukuma na uchawi ni kama pete na kidole,,mimi nimeishi pale geita,nimetembelea vijiji kadhaa,kiukweli vibaka wanaogopa kuiba kwa sababu mifugo,mashamba,mali na biashara zote zimezindikwa kinomanoma!!!ukijichanganya tu,usipokufa utakuwa chizi!!!..ebu nenda pale GNBUSH kaibe uone!!!,,,,nakumbuka...
ujue nini bro!!!,,mimi nina washkaji kibao nimesoma nao kuanzia secondary,wengine nimekutana nao vyuo mbalimbali nilivopita,jamaa waliokuwa wana ndoto za kwenda nje,waliofanikiwa ni wale tu walioenda kusoma mpka kufikia aidha kupata UPROFESA au PHD kwani huwa wanapata kazi nzuri yenye malipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.