Vijana ambao mko kwenye michakato ya kutafuta Ajira Ogopeni Sana hizi namba za simu ambazo naziweka hapa
Hao jamaa sio watu wazuri, sijui wanatumia njia gani kujua kama umeomba kazi sehemu flan
Mdogo wangu juzi kalizwa laki 8
Walimpigia simu na walimwambia wanatokea sehemu ambayo ni kweli...
The way ww unamuona mdude ndio the way watu wanakuona ww, hivyo hivyo hamna tofauti,
Wote mnaongea kudhalilisha watu, utofauti wenu ni kwamba ww unatukana wa chadema na mdude anatukana wa ccm
Anza ww kuacha kusema vibaya viongozi wa chadema
Sio Sawa mdude anavyofanya na sio sawa ww unavyofanya
Wewe na mdude tofauti zenu ni ndogo Sana kwenye kuwasilisha Hoja it's almost mnafanana
Ila ww jamaa bwana
Chalamila si anawapokea hao kila siku?
Mkuu wa mkoa wa Dodoma si anawapokea na kukaa nao kila siku?
Unasifia mpaka Mambo ya kijinga kabisa
Jaman naitaji Toyota crown athlet ya mwaka 2011
Iwe namba E
Ikiwa Rangi nyeupe au black no problem
Price yangu ni milion Tisa
Niko dar es salaam
Kama kuna mtu anayo please ndm
Kifo kimetokea mbele ya viongozi wakuu wa ulinzi na usalama
Eh ulitaka katiba ifatwe Kwa kufanyaje?
CDF ampigie simu vice? Ndio katiba inasema hivyo?
Kwanini sio katibu mkuu kiongozi ampigie vice na kumpa taarifa?
Ndio maana akaitwa katibu mkuu kiongozi aende dar kutoka dodoma
Then ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.