Search results

  1. M

    NYARAKA: Madudu mengine ya William Mhando ndani ya TANESCO

    maana halisi ya mtandao au makundi ni kulindana
  2. M

    Kariakoo Lutheran!!Kweli Wakristo ni wana kondoo!

    Nawasihi tulizeni jaziba wala msichukue jukumu lolote la kuchukua sheria mkononi na wala msitumie silaha zozote katika kupambana nao toeni taarifa polisi kwa msaada zaidi. Njia pekee tunayoiamini sisi wakristo ni kufunga na kuomba nasi tuko pamoja nanyi katika maombi Mungu wetu ni mwaminifu sana...
  3. M

    Ufisadi wa wabunge katika biashara ya Nguzo za TANESCO

    Duu kali kweli kweli, kwa mwenye data wabunge wanaofanya biashara na tanesco atuwekee hapa. jamaa yuko hash akiendelea hivyo labda ........
  4. M

    Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    hi imenigusa nitairudia baaadae
  5. M

    Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

    ALAANIWE MTU YEYOTE AMBAYE AMEHUSIKA KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KATIKA KUFANIKISHA SHERIA HII DHARIMU NA KANDAMIZAJI KWA WANYONGE,sasa naamini kuwa sikio la kufa halisikii dawa yaani kila kukicha serikali inawaza namna ya kuanzisha mgogoro mpya badala ya kutatua migogoro iliyopo. Hii ndiyo...
  6. M

    Uhuni huu wa TBC kuchomoa Signal Cable wakati Bunge Limetota haukubaliki.

    Aisee nilijisikia kichefu chefu sana ile huwezi sema kulikuwa na tatizo la mitambo ni uhuni tu ulifanyika ili tusione kilichoendelea. Mimi nilianza kuwa na mashaka nao tangu jumapili iliyopita katika kipindi cha kapu la tbc tulitegemea watupe matukio muhimu kama taarifa za mtu aliyekamatwa na...
  7. M

    Mbunge wa Sumbawanga Mjini (CCM) avuliwa ubunge na mahakama!

    Kamanda Doma, HESHIMA KWAKO kwa kutu-up to date hukumu hatua kwa hatua .
  8. M

    Napingana na Wanaozuia chakula kisiende Nje

    Kuzuia chakula kwenda nje sio sahihi badala yake wenzetu wanapokuwa na njaa ndo fursa ya sisi kuzalisha kwa wingi ili kutosheleza soko. Watu wengi hasa wanaoishi vijijini wanashindwa kuzalisha mazao ya chakula kwa sababu hayana bei nzuri wakati garama pembejeo zinapanda kila siku,lakini kama...
Back
Top Bottom