Lakini umesema jirani alikua anakupita kituoni pindi huna gari, means we na jiran mnafanya kaz uelekeo mmoja? Sasa yy ampeleke wife wako anampaje lift. Pili usafir qa dar n mgumu sio km siye huku mikoan toyo ya buku tu unawai kazin. Kuzuia mkeo asipate majaribu ondoka nae hata kama n SAA kumi na...
Mnunulie dawa ya meno ya FOREVER LIVING INAITWA FOREVER BRIGHT TOOTHGEL & DEODORANT/PERFUME ya forever, ni nzur sana na hill tatizo litaisha. Km VP in pm for more clarification
Ni kwamba familia naisapoti kwa asilimia 80% na ndugu zake niko nao vizur, hata sasa naish na wifi yangu. Na pia kwa vile napambana mtoto kumlea sitashindwa, kwa hiyo kiufupi mimi ndo nalisha familia mara nyingi
Wana great thinkers nashukuruni sana mmenipa ushirikiano, mmenishauri na mmenitia moyo pia. Ngoja nitawaletea mrejesho kwa nitakachokiamua. Mniombee jaman maana ni pagumu sana aisee.
Habari za mchana,
Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nilianza kuishi na huyu baba baada ya kupata uja uzito. Nilikua kwenye mahusiano ya uchumba kwa miaka 3 na mtoto kwa sasa ana 2 years, ila bado hatujafunga ndoa, sisi sote ni waajiriwa na tunalala kitanda kimoja. Tatizo ni kuwa mume yeye anafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.