Search results

  1. Z

    Jinsi nilivyombaka mke wangu wa ndoa

    Du kwenye ndoa kuna vioja jamani
  2. Z

    Wanawake jinsi walivyo sio waaminifu

    No funzo zuri sana mm mwenyewe nimejifunza mengi kama mwanandoa yatakayonisaidia maishan. Pole sana Franco and hongera kwa busara zako
  3. Z

    Hot story

    Duuu
  4. Z

    Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

    Lara 1 mbona umetudanganya hujapost hiyo Jana SAA mbili!
  5. Z

    Nimemzuia mke wangu kupanda lift ya jirani, lakini amekaidi

    Lakini umesema jirani alikua anakupita kituoni pindi huna gari, means we na jiran mnafanya kaz uelekeo mmoja? Sasa yy ampeleke wife wako anampaje lift. Pili usafir qa dar n mgumu sio km siye huku mikoan toyo ya buku tu unawai kazin. Kuzuia mkeo asipate majaribu ondoka nae hata kama n SAA kumi na...
  6. Z

    Girls and women, take it from me

    Mimi ni namba moja, kwa kumuwezesha my man
  7. Z

    Jamani maloan officer mnalaana

    Du mbona mm loan officer sins laana?
  8. Z

    Ipi ni njia mbadala ya kumwambia mwenza wako kuwa ananuka nanihii...?

    Mnunulie dawa ya meno ya FOREVER LIVING INAITWA FOREVER BRIGHT TOOTHGEL & DEODORANT/PERFUME ya forever, ni nzur sana na hill tatizo litaisha. Km VP in pm for more clarification
  9. Z

    Nataka nichukue uamuzi wa kuachana na huyu mwanaume, naombeni ushauri

    Ni kwamba familia naisapoti kwa asilimia 80% na ndugu zake niko nao vizur, hata sasa naish na wifi yangu. Na pia kwa vile napambana mtoto kumlea sitashindwa, kwa hiyo kiufupi mimi ndo nalisha familia mara nyingi
  10. Z

    Nataka nichukue uamuzi wa kuachana na huyu mwanaume, naombeni ushauri

    Wana great thinkers nashukuruni sana mmenipa ushirikiano, mmenishauri na mmenitia moyo pia. Ngoja nitawaletea mrejesho kwa nitakachokiamua. Mniombee jaman maana ni pagumu sana aisee.
  11. Z

    Nataka nichukue uamuzi wa kuachana na huyu mwanaume, naombeni ushauri

    Nashukuruni kwa ushaur nimeshawashirikisha amewaambia kama sababu ni hiyo yeye yuko tayar tuachane na kulaumu kuwa nimeenda kumuaibisha.
  12. Z

    Mume wangu anataka kuniua, kisa nataka kusoma

    Pole sana dada wanaume wana mambo ya ajabu sana, yaani kimbia wala usigeuke nyuma n mkatili sana
  13. Z

    Nataka nichukue uamuzi wa kuachana na huyu mwanaume, naombeni ushauri

    Nashukuruni wapendwa ila sasa ndo anaongea kwa hisia kuwa moyo wake unamshuhudia kuwa hajawai kuacha kunipenda
  14. Z

    Nataka nichukue uamuzi wa kuachana na huyu mwanaume, naombeni ushauri

    Habari za mchana, Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nilianza kuishi na huyu baba baada ya kupata uja uzito. Nilikua kwenye mahusiano ya uchumba kwa miaka 3 na mtoto kwa sasa ana 2 years, ila bado hatujafunga ndoa, sisi sote ni waajiriwa na tunalala kitanda kimoja. Tatizo ni kuwa mume yeye anafanya...
  15. Z

    Goodmorning all

    Hapana nilikua natest kuna post nimepost ikagoma kuingia ndo maana nikajaribu hii ya kusalimia
Back
Top Bottom