Tupe data ..... Nikuulize je mo ameajiri watu wangapi ??? Ana mchango kiasi Gani kwenye GDP ya bongo ... Tusipende kuharibu watu tunafaa kujifunza kutoka kwao maana ukizungumzia Metl ni kampuni iliyoajiri watu zaidi ya 25000 sasa unataka kusema Nini hapo
Moja kati ya mambo ambayo ni muhimu sana kwenye maisha ni muda.
Je, unatumia vipi muda wako?
Katika masaa 24 huwa unayagawa kwa namna gani?
Je, unawekeza katika muda wako?
Siku yako yenye masaa 24 umeigawa vipi?
Yafuatayo ni mambo sita Yanayo poteza muda
1. Mitandao ya kijamii (social...
Elimu elimu elimu ππππ ni moja kati ya chemsha bongo kubwa ambazo Zinakumba jamii nyingi za Afrika Hadi Leo !!! Jamii zetu Zina vijana wenye talent, uwezo ,vipaji, vision na hamu ya kufanikiwa lakini Bado mfumo wa elimu unakwamisha maendeleo.
Zifuatazo ni athari za elimu inayofundishwa katika...
Hello, naomba nichangie kama moja ya wahitimu wa kidato Cha Sita ... Mtoa mada umegusia sana kuhusu kusoma unachokipenda ili mhitimu aweze kujiajiri ... πππ Suala la ajira tz ni tatizo Kwa sababu Sasa hivi Dunia imehama kutoka kweny talent and passion na imeelekea kweny skills and experience...
Ww unaesema kuwa gurdiola Hana skills ,hebu jibu swali hili ukiitoa Liverpool pale wiingereza taja timu nyingine yenye skills ,sikiliza Kuna mambo mengi sana katika soka ukiangalia vizuri man city inabebwa sana na mbinu za gurdiola so kusema kwamba hana technical skills ni kudharau kocha Bora...
Zifahamu sababu za mgogoro kati ya Japan na Marekani 1945
1. Vita vya pili vya Dunia; hii ni moja kati ya sababu za kulipuliwa Kwa Hiroshima na Nagasaki Kwa sababu mataifa haya mawili yalikuwa katika " alliance " mbili tofauti hivyo basi suala la chuki lilikuwa ni lazima kutokea kati Yao . USA...
M
KKwa
Kwanza kabisa kabla ya marekani kuipiga Japan inasemekana kwamba Japan ililipua pearl harbor ambayo ilikuwa ni moja kati ya bandari za msingi .... Na Kuna sababu nyingine zilimfanya marekani ilipue miji hiyo ya Nagasaki na Hiroshima mwaka 1945 .... Lakini hata baada ya hapo USA...
Umasikini ni tatizo kubwa hususani ktk mataifa yanayoendelea kama Tanzania. Sababu za umasikini ni ujinga,maradhi , uzalishaji hafifu ktk shughuli za kiuchumi kama kilimo, viwanda na biashara. Vilevile umasikini husababishwa na mfumo mbovu wa elimu.
Hoja zifuatazo zitaeleza kuhusu mbinu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.