Hata mimi leo naiaga tbc leo na sikuwai kuiangalia zaidi ya bunge tena wakati wapinzani wakiwa ndani wakitoka naamisha channel na hili kombe la dunia tu ndo nimefungua tbc bas byebye!
Kwani Odinga nchini kenya alifanya kosa gani?
Kwani yeye ndo alikuwa akiuwa raia wasokuwa na hatia?
Au serikali ya kenya baada yakulazimisha matokeo wanayoyataka wao
au baada ya kumchakachua odinga??
Hata Tz wakiendelea na uchakachuzi wa matokeo wakati wa uchagizi hapatatulia kabsa!!!
Na...
Nikweli kabisa hata mlipuaji alijua anachokifanya kwanzia kwa mtu aliyemkodi kuwa ni lazima atang'ang'aniwa yeye huyo bodaboda wake ili yeye apate nafasi ya kukimbia kirahisi.
Mnaona anavyojibu huyu gamba? Ni mmoja wabunge waccm waliochaguliwa na wananchi ili kuwatetea bungeni na mtasikia maneno kama haya wakati akichangia live bungen muswada huu ukiletwa na gamba lao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.