kifupi kubishana hakutasaidia,mimi binafsi nimeonana nae jana na kikweli amechoka na ana uchungu kwani amekaa miaka 17 jela huko malawi baada ya kukamatwa na mzigo wa madawa ya kulevya,akitokea south africa,amechoka hata ukimuona utajua huyu amepigika but kulingana na maelezo yake leo atakua...
sorry,nmejitahd ili kesho niwe dar nimeshindwa kutokana na majukumu,niko trip moro kikazi but nmeondoka bila PC,navyoona kurudi dar mpaka j2 naamini kutakua na muendelezo kwani kuna mengi ya kuzungumza ktk kumuenzi mh. Regia na kuendeleza mazuri aliyokua anayapigania
Kanguni nimekulewa,kumbe ndiyo formula ililyotumika kwa Luhanjo na Jairo,issue yao kimya kimya Jairo alipewa likizo yenye malipo na Baba Riz baadae mpaka amestaafu huyoooo.hii itatumaliza viongozi hawana aibu wanavurunda wapo tu na mkuu wa asemi kitu,mfano Issue ya Ngereja na wenzao...
Kwa maoni yangu,kuna haja ya kuanzishwa somo toka elimu ya awali ambalo litajenga tabia ya kujiudhuru(kuresign)pale panpokua na utendaji mbovu,ukiukwaji wa misingi,sheria na kanuni za kazi,kuboronga bila kusubiri umma ukushurutishe kufanya hivyo.but also masomo yatakayo jenga commitment kwa...
Hiv kwa kuangalia tu tofauti ya makabila kwa maana ya mfumo wa maisha,behaviours,attitude,n.k vina maana yoyote katika Tanzania,mbona makabila mengine yanaonekana active sana na mengine yana strong decisions compared to others.mengine yanadanganyika sana na uozo wa wanasiasa hususan wazee wa...
Nimejiunga JF kubwa ni kupata news ambazo mostly n current pia mambo yote ya kijamii,ni mtandao bora sana kulinganisha na mingine,nc sunday 2 all members na iwe ya kutafakari
Nina shaka na utajiri wake,but u know watu wengi wenye pesa wana story ndefu na mara ntingi ni chafu au mbaya,about age sikubaliani fanya taft utujuze ukweli co kutudanganya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.