Nilichukua huu mzigo wa 10Mbps uko poa sana nilikuwa nahofia huku mbezi ndani ndani itazingua , 5G haitopanda ndio lakini sidhani kama utahitaji 5G kwa 10 Mbps sababu hii 4G+ muda wote speed inakwamia 12Mbps na mimi huwa muda wote na stream up to 1440p bila shida
Mfano wa streams nazotumia
Dstv...
Simu nna 4G tu ambayo inajitahidi kidogo , nahofia kununa na device yao halafu iwe miyayusho
Natumiaga ile ya 30+ GB sa SME hainaga shida ila muda mwingine tu inaweza kuwa slow
Wale wa Airtel 5G Speed ipoje? 10Mbps inakuwa fresh? nipo mitaa ya mbezi luguruni airtel wanasema 5G inapatika kote Dar sasa hivi kwahyo huko hakuna shida, maana natka kuchukua hii au Voda sema voda gharama juu kidogo
Watu wa namna hii ni wengi sana , kwann usipige screenshot ukawa na ushahidi? Na kwann wakubadilishie timu ukiachana na betPawa hakuna kampuni yoyote ya betting Kwa Karne hii inaweza kufanya hivyo
Hapo hata ukienda Gaming board wanakupotezea maana hakuna evidence
Wameshindwa tu biashara, ushindani mkubwa hawakujipanga, na hapa kama hujuani na watu Gaming board watakuletea sana mizengwe wakupige pesa ndio maana wenye roho nyepesi wanakimbia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.