Habari WanaJF nililipia bati Alaf mwezi mmoja uliopita nikataarifiwa bati zinatoka leo nipeleke gari ya kupakia.
Nilipeleka gari yangu asubuhi ya leo ila mpaka saa hizi saa mbili usiku.
Hii ni kero kwa kweli
Heshima kwenu wakuu, nimeona baadhi ya watu wakitumia ubini wa kike . Kwa mfano Charles Maria au grace Maria . Na kuna tetesi kuna baadhi ya makabila yana utaratibu wa wanawake kuoa wanawake wenzao. Je wadau kuna ukweli juu ya haya?
hiki kitendo cha kukataza wateja wao wasiuzie majirani maji ilhali viosk vyao walivyoviweka mitaani havitoi huduma.mimi hapa nashindwa kuwaelewa dawasco.
Salaam wakuu,
hivi hapa dar kuna kituo cha kuwatibu waathirika wa madawa ya kulevya?
Kwa maana ya kambi
maana nina shemeji yangu hashikiki kwa hayo madawa licha ya kwamba anatibiwa muhimbili na pale amana hosp. Mambo naona si mazuri
Wadau naona kipindi kinarushwa live na kuna bendi inatumbuiza kinacho nichanganya bendi inaimba nyimbo za kiingereza wakati hao mabibi wenyewe hawajui hiyo lugha
Wakuu habari za pilika za mchana kutwa . Leo mchana nimepigiwa simu kwa no. Ya zain nilipoipokea sauti ni ya kike ikinishawishi ninunue miziki kwa akupigiae,
nikakata sim cha ajabu ikaja meseji ikinitaarifu kuwa nimekatwa sh 400 kwa ajili ya mziki walinichagulia bila idhini yangu.
Sasa wadau...
JIRANI YANGU AMENUNUA BAISKEL INAYOSEMEKANA NI YA WIZI .MWIZI AMEKAMATWA YUKO O/BAY BAADA YA KUMINYWA AKAMTAJA ALIEMUUZIA WAKAMKAMATA USIKU WAJANA WAKAMWEKA KITUO KIDOGO CHA MIKOCHENI .KTK HANGAIKA YANGU YA KUMNASUA JIRANI ,TUKAKUBALIANA BASKFLI ILETWE ILI MAMBO YAISHE.CHAKUSHANGAZA BAADA YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.