Enyi ndugu zangu jaribuni kutumia lugha nzuri kwani huu ni mtandao wa jamii nzima na jamii hii yetu kila mtu ana uhuru wa kuabudu bila ya kubughuziwa au kumbughuzi mwenzie nakuombeni sana ndugu zangu, narudia tena tutumie lugha fasaha na pia moderator naomba ulitazame hili kama lugha sii nzuri...
Mada ni moja tu uzalendo acheni mambo ya chama gani imefika wakati tunahitaji mtu na sii chama kwani huko
cdm kuna waovu wengi tu waliojificha
ccm vilevile
cuf vilevile
tlp kama kawa
nccr njia moja
nakadhalika nakadhalika
halafu unategemea nini kama mtu sii mzalendo ni lazima umuweke...
Tatizo hapa ni uzalendo hawa waganga wetu wamekubali kupokea pesa ndogo na kusaidia watanzania wenzao ili viongozi wetu wakiongozwa na mkuu wa nchi uzalendo umewashinda ,leo kuna watanzania wengi tu walioshindwa kuvumilia na kwenda ughaibuni kufanya kazi hiyo kwa pesa nyingi ila si wasifii kwani...
Lowasa ana haki ya kutetewa japo ni mfanyabiashara nape shida kubwa aliyonayo ni kupenda kuongea na vyombo vya habari kwasababu kama kuna shida nyumbani kwako mnaitana na kuzungumza kimya kimya na kurekebishana ili muweze kuendelea na kama wakikiua chama chao hiyo damu itawaandama siku zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.