mwenye kujua jinsi ya kuconfig DNS kwenye fedora 16 anisaidie kwan inafika mahali nainstall bind inaonyesha kuwa imenstalled lakin nikija kuitafuta katika file system->etc siipati sasa nashindwa kujua imejificha wap?????/naomba mwenye maujuzi na hili anisaidie
umenikumbusha mbali sana mdogo wangu kwan nami nimesoma PCM hapo old moshi na wengi tuliingia na ndoto kibao kipind hicho pale combination zilikuwa mbili tu na cyo kama sasa kuna mpaka arts.kipind chetu kulikuwa na PCM na PCB tulikuwa tunaongelea uhandisi na udaktari tu lakin mda ulivyozid...
natumai wazima ndugu zangu
naomba kusaidiwa kutatua ili tatzo kwenye hii PC yangu ukiiwasha inaunguruma tu na screen inakuwa haidisply chochote zaidi ya mwanga tu.aina ya PC ni ASUS
Wanawake hao wanapinga kile cha kuambiwa kuwa wao wanakwenda kufanya umaraya india kwa hyo hawastaili vizaa
Ukrainian women rage against Indian prostitute ‘slur' | euronews, world news
MH DR MARY MWANJELWA AKIONGEA NA WAMACHINGA WA MWANJELWA - YouTube
jaman link hyo hapo juu mcheki wenyewe alichokuwa anaulizwa na kujibu uyu dr. Mary Mwanjelwa na cjui nan kampa huu
udaktari kwan cdhan kama anafahamu anachokitetea
MH DR MARY MWANJELWA AKIONGEA NA WAMACHINGA WA MWANJELWA - YouTube
jaman link hyo hapo juu mcheki wenyewe alichokuwa anaulizwa na kujibu uyu dr. Mary Mwanjelwa na cjui nan kampa huu
udaktari kwan cdhan kama anafahamu anachokitetea
jaman mwenzetu ata paspot hana uyu yeye anaishi nje uko ulaya ndo maana yanamtoka maneno kama masaburi
rudi jomba kwa escout bna ili tujenge nchi kuliko unavyozeeshwa na baridi uko kwa watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.