Kuna kiwanda kidogo cha kukamua alizeti mjini Morogoro. Uwezo ni kukamua tani 6 kwa saa 10, hivyo kwa siku nzima ya saa 24 ni kukamua tani 12 hadi 14. Mafuta yanachujwa mara mbili. Wanatafutwa watu au mtu mwenye uwezo wa kuleta mbegu za alizeti zikamuliwe hapo kuanzia msimu wa alizeti wa mwaka...
Toka kwa Alizeti
Kwenda kwa Joseph Isaac
Naomba nikupe namba zangu za simu ili nami niweze kuhudhuria mafunzo hayo ya ujasiriamali kama ulivyo eleza.
0754769699 na 0784769699.
Nipo Morogoro Manispaa
Ahsante
Ni mpango mzuri endapo utatekelezwa. Shirikisha wataalam wa fani muhimu katika kuanzisha biashara binafsi na fursa mbalimbali zinazoweza kupatikana. Nitapenda kushirikishwa kama mjasiriamali mdogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.