Ndugu zangu kama kuna mtu anajua wapi hapa Dar napata tags za kuweka ktk masikio ya ngómbe for identification na kile kifaa chemyewe cha kuwekea hiyo tag ktk sikio. natanguliza shukrani tena.
Mimi Yohana mfungwa wa Kristo nilipokuwa ktk kuomba niliona yafuatayo kuhusu nchi yangu Tanzania;
1) Haya uyaonayo leo ktk siasa ya tanzania ni kivuli na mhimu sana kwa mambo makuu yajayo; maandamano na malumbano yanaamusha na kufundisha jamii iliyokosa elimu kwa ajili ya mambo yajayo..... acha...
Chukua muda kusoma hii habari ingawa in ndefu (vumilia) halafu utoe maoni inafanana vipi na ile ya Babu wa Loliondo AU inatofautiana vipi
George Washington Carver (1864-1943), was an agricultural chemist of international fame who revolutionized the economy of the south by introducing hundreds...
Mimi najiuliza shilingi yetu ya Tanzania imekuwaje tena? Mwishoni mwa mwezi wa pili exchange rate kwa dollar ilikuwa sh1150-1170, mwishoni mwa mwezi wa tatu especially tarehe 27/03/2008 ilikuwa 1210, wiki moja baadae yaani tarehe 3/04/2008 ikawa 1165 na leo tena ni 1200. jamani fractuations kama...
Ndugu wana JF
mimi binafsi nimefarijika mno kuona JF inarudi salama kabisa. Tulikuwa ukimbizini KLH News. Bila kusita natoa pongezi za dhati kwa M.M.Mwanakijiji na uongozi wote wa KLHN kwa kukubali kwao kutupokea ktk kipindi kigumu tulichokuwanacho. Mzee tunashukuru sana.
Blila KLHN...
Dunia nzima watajua kumekucha Tanzania!
Ninaona jinsi watanzania kutoka kila pande za dunia watakavyomiminika kuja Tanzania na kuungana na Watanzania walio ndani ya nchi wanaoitakia mema nchi yao Tanzania.
Siku hiyo kutakuwa na wingu nene lililojaa utukufu wa Mungu likimgusa kila aliyeko...
Kwanza Tanesco wamepandisha gharama za kuunganishia umeme wateja kwa zaidi ya 200%
EWURA wamekataa ongezeko hilo
Tanesco kasitisha huduma uunganishaji wa umeme kwa wateja akidai gharama anatotumia ni kubwa kuliko anayopata
Wananchi wanalalamika ongeeko ni kubwa mno
EWURA ni shirika la...
MASWALI 210 KUJIBIWA
MISWADA 16 KUWASILISHWA
ZITTO STOP TENA STOP
2007-10-30 10:22:35
Na Richard Makore, Dodoma
Kikao Cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa?Tanzania kinaanza leo mjini hapa ambapo miswada 16 ya sheria inatarajiwa kuwasilishwa na kujadiliwa na wabunge.
Akizungumza na...
*Apinga Mahakama ya Kadhi, afungua kesi
*Adai inakiuka Katiba ya nchi, italeta vurugu
Na Grace Michael
MWENYEKITI wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amemkosoa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Bw. Joseph Butiku, kwa kumtaka Rais mstaafu Benjamin...
ANGALIA JINSI MUNISHI ANAVYOPAMBANA NA CCM!!
"CCM Wakiniua, Mnizike Kenya." Asema Munishi. "Siyo kwamba nimebadili uraia, wala sitarajii kufanya hivyo.Mimi bado ni Mtanzania. Sikuchagua kuzaliwa Tanzania, lakini nitachagua pa kuzikwa.Serikali za CCM zimenifanya nisiwe na mahali ninapoweza...
Jamani angalieni jinsi shilingi inavyopata nguvu haraka zidi ya foreign curency, sijui ndiyo itadumu au ni ya muda tu!!
http://www.moneylinktz.com/rates.htm
Au ndiyo pesa za misaada zimeanza kushuka kutoka ughaibuni
tutaishi kwa misaada mpaka lini?
Tahadhari:
ikija kushuti sasa mpaka...
Jambo F mnatisha mno!!!
Tanzania imegubikwa na mtandao mpana wa ufisadi ambao hata kuuelezea inagharimu mno lakini ipo siku moja tutauondoa. Lakini hebu niseme hivi watu wasiojua madhara ya ufisadi naomba mjifunze ktk huyu!
Mzee mmoja alikuwa na wadhifa mkubwa sana katika mkoa wa Tabora na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.