Sinywi pombe, napenda kusikiliza muziki, kusoma na zaidi sana kusikiliza idea za watoto:Na watu wanapenda kupata ideas kutoka kwangu.Tusiendekeze pombe.
Mimi nilikuta utamu hauko kiwango kile nilichofikiria, nikaona kumbe hovyo tu tofauti na masela wanavyosimulia na kikajuta kutenda dhambi (sijui ni hofu ile)!
Mzee wangu alinionya kuoa mdada aliyekwisha "tembea" na wanaume zaidi ya wawili. "If you are third in her experience, don't marry her". Ha ha ha ha. Ngoja nipate usia mwingine hapa.
Hongera sana. Mimi ninao wawili wa kiume, tunapendana sana kama unavyopendana na wa kwako wa kike na pengine zaidi,huwa nawalazimisha kwenda kwa mama yao, they are my best friends, nimekuwa zaidi ya babu yao. KWA HIYO HALI HUTOKEA TU bila kijali jinsi ya mtoto, mtoto ni mtoto tu.
Inabidi uwe makini kaka, kuna wengine wanautumia ulokole kama kichaka/ wanafahamika kama walokole lakini bado wana tabia mbaya tu. Nashauri uwe makini kuangalia tabia ya mtu badala ya kutegemea imani ya mtu peke yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.