Bei: Milioni 3.8
Zinafaa kwenye korosho au fumigation majumbani.
Description
The Tomahawk Backpack Mist Blower is perfect for applying pesticides in small orchards and vineyards or for pest and parasite control in greenhouses, and ranches. The TMD14 improves plant protection and chemical...
Xiaomi (au Mi) power banks, ni kati ya power banks tatu bora zaidi duniani.
Jipatie ORIGINAL Mi power banks (Kila moja ina security code iliyofichwa ya kuhakiki kama original, kupitia mtandao wao wa Xiaomi).
Zinapatikana Dar es Salaam, mkoani utagharamia usafiri mwenyewe.
Bei:5200mAh ni...
Natamani kungekuwa na sheria kama hii. Ukikwepa kodi wafilisiwa na kutiwa kitanzi.
Inakuwaje wafanyabiashara wakubwa hawalipi kodi, wakati mimi kamshahara kangu kanapigwa panga 33% kila mwezi na siwezi kulalamika au kukwepa.
Kuna baadhi ya wafanyakazi walioajiriwa serikalini, hawana impact kwa jamii. Hawa hata wasipoajiriwa hakuna kitakachoharibika. Mfano:
1. Kuna hawa huitwa maafisa habari wa jiji, halmamashauri na manispaa. Wamelala sana. Sijui kazi yao ni nini. At least wangekuwa kipaumbele kutoa taarifa za...
Ukiacha sababu nyingi zinazotajwa kuchangia kushuka kwa thamani ya shilingi ya kitanzania; baadhi ya watu, akiwamo Zitto Kabwe walizungumzia ushiriki wa benki za kigeni, katika kushusha thamani shilingi yetu. Ni wakati muafaka wa hili kuchunguzwa, na pale penye kosa benki husika zilipe hasara...
Naona tumekuwa na vicious cycle. Kuna watu wanakusanya; na kuna watu wanatapanya.
Alianza Mwinyi kutapanya, akaja Mkapa kukusanya.
Akafuata Kikwete kukausha, sasa Magufuli kapewa kazi ya kukusanya.
Kwa mtiririko huu nina hofu baada ya miaka 10 tutapata mtu wa style ile ile ya kutapanya...
1. Usidanganye/
2. Mpe daktari sababu za kumtembelea. Kawaida sababu ni dalili, na si jina la ugonjwa udhaniao wakusumbua. Mfano kuna tofauti kubwa mtu akienda kwa daktari akasema ninajisikia viungo kuuma, mwili kuwa wa moto, kutapika na kukojoa sana; ukimfananisha na yule atakayesema dokta...
Kwa muda mrefu sasa vipimo vya CT Scan Na MRI Muhimbili vyatozwa kwa bei ndogo sana. Nakumbuka mwaka 2011 bei ya CT Scan Muhimbili ilikuwa 170,000/= na kushushwa hadi kuwa 50,000/=. MRI ilikuwa 250,000/= na kushushwa kuwa 100,000/=.
Maamuzi haya yamekuwa yanafanywa kisiasa mno, lakini uliza...
Kuna wafanyabiashara wasio waaminifu wanauza virutubisho viitwavyo Trevo. Soko lao kubwa ni waathirika wa UKIMWI. Kwa bahati mbaya sana, wengine wanatumia uwongo ili kupata wateja wengi kwamba Trevo inaponya UKIMWI.
Baadhi ya wagonjwa wameambiwa wanapaswa kutumia chupa 36 za Trevo ili kupona...
Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, takribani watu 23,700,000 wameandikishwa kupiga kura. Watu hawa wanategemewa kupiga kura katika vituo 72,000 huku kila kituo kikikadiriwa kuchukua watu wasiozidi 450.
Kwa mtu wa kawaida kama mimi ukisema kila kituo kitakuwa na watu 450 (exactly)...
Nimejaribu bila mafanikio kutafuta kifungu cha sheria kinachoniruhusu kukaa jirani na kituo cha uchaguzi baada ya kupiga kura, yaani mita 200 kama NEC wasemavyo au mita 100 wasemavyo UKAWA. Msaada
Watanzania tunatumia sana hili neno kwamba tafiti lazima zipingwe kwa tafiti!!!
Nani katudanganya?
Kwanza kabla sijaikubali tafiti, ni lazima niangalie methodology yake. Ikiwa hovyo hata majibu yake yatakuwa hovyo. Methodology ikiwa safi na majibu yake yakawa yasiyotarajiwa, hapo ndipo ama...
Hii kampuni ya kuuza magari SBT Japan wanachosha kwa simu. Nime block namba zao kibao, lakini wapi. Kumbe kuna SBT Kenya na Tanzania ambao nao hawachoki kutwanga simu kila mara.
Je, unapata kadhia hii?
Binafsi naamini katika mabadiriko. Nataka political levelling.
Nilijua vyama vya upinzani baada ya kupata nafasi ya kumsajili Lowassa, basi vingekuja kwa kasi kubwa. Lakini naona kama vile havikujiandaa. Ni kama kapuku kaokota bonge la dhahabu.
Hakuna habari, hakuna taarifa, hakuna ofisi...
Unapotafuta kununua gari iliyotumika (used/second), uamuzi wa kujua gari ipi itakufaa utategemea mahitaji, bajeti, na mapenzi yako binafsi. Haya ni baadhi ya maswali yanayoweza kukuongoza kufikia maamuzi sahihi:
Je, itakuwa ni gari pekee au una gari nyingine ambalo litakuwa na matumizi...
Kwa ndugu zangu wanaosoma biblia, nilikuwa ninasoma kitabu cha Mathayo 11. Nikafikiria sana uwiano wa habari za Yesu na Yohana Mbatizaji na Lowassa baada ya kufika kwenye hizi aya:
N.B: Truly speaking, sioni kama Lowassa ana afya nzuri kwa sasa, anasahau hata maneno anayotaka kuongea (sijui...
Wanabodi!
Kuna email ya shukrani imetumwa na Lowassa kwa baadhi ya wafuasi. Si mbaya, lakini haitoi hatima yake kwa sasa, na bado anahitaji maombi yenu.
Tumuombee.
Anatafutwa business partner wa kike na mwaminifu, kwa ajili ya kuanzisha Pharmacy jijini Dar es Salaam. Eneo limepatikana, mita 9 kwa 8. Mtaji wake usipungue million 20 na pia lazima awe mkazi wa kudumu wa Dar es Salaam. Umiliki utakuwa ni 50%|50%. Partner mwenzake ni mtumishi wa afya. Sitoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.