First of All Hongera Your good hasa Kwenye Uchambuzi wa Magari.
Sorry Kwa First Car Owner mwenye bajeti ya 15Ml unamshauri achukue Gari gani...?
SIFA:
1. TOYOTA
2. SUV (I hate Sudan)
Tatizo sio ku share tatizo ni kutaja company public na unajua daily system admin wa hilo mitandao wanashinda humu unategemea nini.. Wakati it's matter of seconds kuziba hizo roophooles halafu unaanza ooh haifanyi kazi sijui nini nini..
Hii ni moja ya sababu watu wana tricks zinafanya kazi...
SHARING IS CARING
Habari za sasa hivi ndugu zangu wa JF, heri ya muda na siku nyingine katika maisha yetu.
Bila kuzunguka sana acha niende direct kwenye topic ya leo hii.. leo hii nipo mbele yenu kuwaletea tutorial ya Django 2 na bootstrap 4 kama give back to the community kwa kuwa...
I will go with Django... napenda django kwasababu ya vitu vingi plus security yake ipo tight kidogo
Nimefanya more than five complex systems with Django nimekuja jug us us kuwa django ina solve many web development/design patterns..
Hizi ndio thread za kusoma sasa sio kila siku 'MAFUNDI WA NINI.. NINI TUKUTANE HAPA' I hate those kind of threads
By the way nice thread from A-Z cha kuadd tu kama unataka kubobea kwenye Web pentest make sure unakuwa vizuri kwenye TCP/IP Make sure you understand all process and ways packet...
PES ALL DAY!!, Japo still sometimes nacheza sana FIFA but na ENJOY sana napocheza PES than FIFA,
Kwenye PES mambo sijui ya kuongeza power ya shoot sijui kufunga katikati ya uwanja haya mambo hakuna huku thus why watu wanaocheza sana FIFA akija kwenye PES ilitamsumbua kidogo tofauti na PES...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.