Ofisi ya CHADEMA kata ya Ruaha wilaya ya Kilosa imevamiwa na kuharibiwa vitu katika ofisi hiyo na baadhi ya vitu inasemekana havijapatikana hadi sasa, pia inasemekana kuwa jeshi la polisi ndio wamefanya hivyo.
Hifadhi ya taifa ya mikumi ilitangaza nafasi kadhaa za askari wanyama pori kwa wenyeji wa mikumi na vijiji vinavyo izunguka hifadhi hiyo kama ujirani mwema kupitia kwa afisa mtendaji wa kijiji cha mikumi, na wanakijiji wengi walipeleka maombi yao kupitia kwa mtendaji wa kijiji na sifa walizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.