Kijana mmoja ampiga mpenzi wake risasi kumi (10) za kichwa Baada ya kumcheat
Kutokana na watu wanavyodai msichana huyo amemsomeshwa na huyo mchumba wake chuo mpaka kumaliza, alikua akisoma sheria. Baada ya kumaliza akapata mchumba mpya akaamua kumuacha mpenzi wake aliemsomesha chuo mpaka...
Habari Wana Tech
Kuna start up yangu nimeanzisha nahitaji kwa mtu anayejua namna ya kuweka hizi (voda,tigo, Airtel,HALOPESA as gateway) Kama njia ya malipo kwenye website , sababu WordPress Kuna Plugin za PayPal na stripe ambapo kwa paypal waTanzania wengi hawana
Nahitaji kutumia njia hizi...
Habari wana Jamii Forums,
Changamoto iliyopo mtaani sasa hivi ni tatizo la kupata wateja na kuongeza mauzo kwenye biashara limekua ni swala gumu sana, jobless wengi wanaanzisha Biashara na zianishia kufa kwa kukosa wateja au kukosa mbinu za kufanya mauzo.
Njia mojawapo ya kujihakikishia...
Habari wana jamii forum
Changamoto iliyopo mtaani sasa hivi ni tatizo la kupata wateja na kuongeza mauzo kwenye biashara limekua ni swala gumu sana , jobless wengi wanaanzisha Biashara na zianishia kufa kwa kukosa wateja au kukosa mbinu za kufanya mauzo
Njia mojawapo ya kujihakikishia unakuwa...
Huwa nasema kama hujui Kulipia Matangazo FB na Instagram na wewe ni mfanya biashara unayetaka Mafanikio Makubwa Mtandaoni.
Kitendo Cha kutojua Kufanya hicho kitakukwamisha sana kupiga Hatua Mtandaoni.
Najua unapata Wateja wachache WhatsApp groups.
Tatizo la WhatsApp groups ni kwamba Wateja...
"Sasa ninaingiza kipato kizuri baada ya kusoma kitabu chako cha "MAUZO BOOSTER" nimeweza kupata mauzo endelevu na wateja ndani ya wiki moja na nusu"
Hii ni moja kati ya shuhuda niliyopokea na ninaendelea kupokea kila siku kutoka kwa watu waliosoma kitabu changu cha MAUZO BOOSTER na bado...
Njia mojawapo ya kujihakikishia unakuwa mtu mwenye amani katika biashara yako ni kua na wateja na mauzo mengi kila siku.
Donald Muller aliwahi kusema "Biashara bila mauzo ,nikujilisha upepo"
Kuna watu wengi wanakata tamaa kwenye biashara zao sababu hawana wateja, licha pia ya kua na wateja...
Njia mojawapo ya kujihakikishia unakuwa mtu mwenye amani katika biashara yako ni kua na wateja na mauzo mengi kila siku.
Donald Muller aliwahi kusema "Biashara bila mauzo ,nikujilisha upepo"
Kuna watu wengi wanakata tamaa kwenye biashara zao sababu hawana wateja, licha pia ya kua na wateja...
JIFUNZE MBINU HII ITABADILISHA BIASHARA YAKO MAZIMA
Hata Kama umeshajiribu kila njia ya kuongeza Mauzo na umefeli...basi hiki unachoenda kukiona ndani ya sekunde 10 zijazo kitabadilisha kila kitu katika biashara yako
Ukweli ni kwamba[emoji1313]
Kuwashawishi watu Kununua bidhaa/huduma yako sio...
Habari wana JF
Naomba kwa mtu ambaye ameshapata visa ya Marekani anipatie maelezo kidogo ya jinsi alivyofanikisha kupata visa hio? Leo nmekosa visa na nimeshatumia gharama tayari zimeenda bure, nimeambiwa nijipange niombe upya.
Naombeni mrejesho kwa wale waliofanikisha kupata visa ya Marekani
Habari wana JamiiForums
Naomba kujuzwa na kupewa muongozo kuhusu biashara hii ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda Marekani, Canada, England na South Africa
Naomba kupewa muongozo jinsi ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda nchi hizi bidhaa zitachukua muda gani hadi kuwafikia...
Habari wana jamii forums
Naomba kwa anayefahamu au aliewahi kwenda marekani,jinsi ya kupata visa,utaratibu wa kufata na inachukua mda gani hadi kufika ukapatiwa visa yako ya kusafilia
Nampango mwezi wa nne kwenda marekani lakini nme google sijapata utaratibu mzuri kwa anayefahamu naomba...
Habari wana jamii forums
Kuna baadhi ya watu wanaifanya fx industry kuonekana kama ni kitu scam,kumbe ni wajinga baadhi ambao ni walala hoi wanaifanya hii game ionekane ni wizi,wanajifanya ni mamentor wakati ni wachoma account wazuri,wauza signal za bukubuku,wana ibia watu hela wakijifanya ma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.