Unaukizwa swali
Why unalala wakati mimi nakusimulia story au nakuboa?
Au story anakuambia ubuyu wa mtu ambaye umesahau wakati alikusimulia juzi anaaza kumind as if ni kitu muhimu, na mwisho wa story unaukizwa umeelew mume wangu mbona huuzuniki hahahah, jamani story yote hii unashangaa,
Kusahau...
Yeye mwendo kaumaliza. Tumebakiza sisi,
Tujililie sisi na nafasi zetu.
Wanywaji tunywe.
Wakimbiaji tukimbie.
Wajanabi tufuate ushauri wake.
Kifo ni kifo na hakina huruma
Itasaidia. Maana tunaweza zika watu. Kuna mshua Jana nimekutana naye anasema anasikia furaha kesho simba anafungwa za kutosha. Nikamwambia mkifungwa je, akasema naweza kufa kwa pressure
Mimi nimesoma huu Uzi baada ya matokeo mabaya ya simba na mashujaa. Mungu awabariki mliotusaidia kufunguka kiroho.
Nina swali.
Unaweza ukafanya biashara kama ya bar na Bado ukawa na mawasiliano na roho upande wa Nuru. Mfano umerithi biashara ya bar kutoka kwa wazazi wako, au umeajiriwa kwenye...
TANGAZO lolote tukipata kuhusu mambo ya utajiri unatakiwa uwe na uelewa mzuri juu ya kinachotangazwa otherwise wewe ndo utakuwa unawapa watu utajiri.
Utajiri sio kitu Cha kitoto
Nilijuta. Ila Bora hisa kuliko shamba. Shamba ukilimega linataka pale ulipopaendeleza. Kule ambako ni pori labda umwe umezungukwa na wanapohitaji kutanua mashamba yao.
Naungana na wewe.
Kijana tumshuri na atumie mifuko kama Sehemu ya kuhifadhia hela.kuliko kuweka benk ambapo haimletei faida hata kidogo. Akitunza hela kwa mwaka huu anunue shamba mwakani anunue kiwanja. Na vile vyake vingine aweke utt Ili hata ikitokea dharula anaweza akauza Sehemu ya vipande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.