Inaonekana JF unaijua sana kuliko hta admin, au we ndo admin???,, kwanza mi ndo nnawacwac naww kwa7b umeingia kwenye group ambayo haihitaji wa2 wenye roho mbaya Kama yako,
habari wana JF, mimi ni mwanafunzi wa chuo cha uuguzi na ukunga (nursing and midwife) ngazi ya cheti (enrolled nurse) kilichopo mwanza ila natarajia kuhitimu masomo mwezi wa nane mwaka huu (August 2015), ombi langu ni kwa yeyote anaefaham hospital au zahanat ambayo naweza kufanya kazi(tempo)...
Habari wana JF!
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Uuguzi na Ukunga (Nursing and Midwife) ngazi ya Cheti (enrolled nurse) kilichopo Mwanza na natarajia kuhitimu masomo mwezi wa nane mwaka huu (August 2015).
Ombi langu ni kwa yeyote anaefahamu hospitali au zahanati ambayo naweza kufanya kazi...
habari wana JF, mimi ni mwanafunzi wa chuo cha uuguzi na ukunga (nursing and midwife) ngazi ya cheti (enrolled nurse) kilichopo mwanza ila natarajia kuhitimu masomo mwezi wa nane mwaka huu (August 2015), ombi langu ni kwa yeyote anaefaham hospital au zahanat ambayo naweza kufanya kazi(tempo)...
Habar zenu wanaJF, mi ninatatizo linanisumbua sana tokea zamani kama miaka minne iliyopita japo liliacha lakini sasa limeanza kurudi tena mala 1 moja, ni tatizo la kukosa nguvu mwili mzima usiku ukiwa umelala kiasi cha kushindwa kugeuka au hata kunyanyua kiungo chochote cha mwili japo unakua...
mm nnadream yakuwa PILOT, lakin kila nnaemsmlia dream zangu anaishia kunicheka sana, naombeni mnisaidie wana JF, je kunauwezekano kwa mbongo kuwa pilot wa nchi moja mpaka nyingine?, au nifute kabisa hilo swala kichwani, elim yangu ni O LEVEL.
Nikiwa rais: m2 akifikisha miaka 30 namuua ili niwe na nchi ya vijana 2pu, mashoro wote nawapeleka jeshi, wagumu wote nawapa kazi ya uhudumu wa bar na gest.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.