Wewe hujui dunia inavyokwenda acha Bush is a great man ever in this world, ungejua Gadaffi alikuwa anafadhili vikundi vya kigaidi ndani ya miskiti Tz usingethubutu kusema, na kelekele zake za Africa moja ilikuwa atawale yeye kwanza na aimplement sharia!!! wewe hujui, njama ya Saddam, yakuteka...
You are totally wrong!!! Bush is a great man and president of the century!!! I think the one put this thread is belong to Al quaida or Boko haram!! thats why he/she is against Bush but for those who understand clearly the plans for Islam extrimist we are happy the way GWB tried to stop evil...
Akipenda kutumia pesa, atumie lakini watanzania tunasema kazipata wapi!kazipataje! je hazitoshi mpaka atake kazi ya urais?na je kweli yanamkera kwa dhati matatizo na mahitaji ya watanzania kwa sasa! je uso wake ukimtazama anamanisha anachokisema!au ni kawaida ya chukua chako mapema kuja na...
Kumbe Tendwa,Werema na chakua chako mapema walikuwa na deal na RH na Kafulila sasa wanahaha hela walizopewe wampe auwe CHADEMA kisha cough wanahaha mpango umekwisha kabla ya kufanikiwa, mwenye habari nzuri juu yao mwaga haradhani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.