Hawafai kabisa nilishawahi kununua muda wa maongezi kwa kupitia Tigo pesa hela ilikatwa na kifurushi sikupewa na kila nikiongea na wahudumu wao kmnaambiwa swala langu ninashugulikiwa mara nisubiri masaa 24. wiki tatu zimepita nimeamua kusamehe tu maana nisijetukana mtu bure yakawa mengine.
Mkuu usije na Jazba, Mimi nimfuailiaji mzuri sana habari hii toka post ya kupima kwake, niliguswa nao sana na nilimuona ni shujaa na kila post yake inayosiana na tatizo hili nafuatilia kwa lengo la kujifunza kupitia kwake na hata hii nimefuatilia pia hivyo naonganisha dots za habari zote...
Nimekuelewa sana bro lakini je unafikiri ukileta huku itamsaidia wife? Kitu muhimu ni kuongea nae kwa busara na kumuelimisha umuhimu wa kumbe kilichopo tumboni kwake na umuhimu wenu kwa hicho kiumbe. busara uliyonitumia kaamua kupima afya, kukubali matokeo, kumshawishi apime ndivyo...
Vipi umeshapona GONO? Hivi kwa nini baadhi ya wanaume hamjui kwa nini mmezaliwa wanaume? Moja ya majukumu ukiwa kama mwanaume ni kuiongoza na kuisimamia familia. sio kitu kidogo unakimbilia huku. Usijehukumiwa kwa kutokutimiza wajibu wako.
Kweli wanaume tumebakia wachache, Mungu alimuumba Adam na akaona yu mpweke akamtafutia msaidizi ambaye ni Hawa. Wanawake ni sehemu ndani ya mwili wetu ni wasaidizi na sisi wanaume ni kichwa cha familia. Mwanaume simama katika nafasi yako. Ni aibu mwanaume kuongea maneno ya kudhalilisha wanawake.
jamaa anaweza kuwa kawafurahisha baadhi ya wanaume ila kwa lugha aliyotumia yaonesha wazi malezi au tabia aliyoadapt kipindi cha makuzi ya mpito ina walakini. unaweza sema maneno juu ya bastard children bila kujua inawezekana hata wewe ni mmojawao au hata wazazi unaojivunia sio biological...
Namuheshimu mwanamke, Ni mama yangu, dada yangu na mama wa familia yangu ijayo. Na kwa kuwa siko katika nafasi yake sijui na sitaweza kujua nini kinamsibu katika maisha yake na pia sina sababu ya kumdhihaki wala kumdhalilisha kwani nami si mkamilifu mbele za Mungu na dunia hii. bila Mimi...
Mtoa mada je mme ana haki ya kumtunza mama mkwe? maana kama mama yake hana haki ya kulelewa na wewe basi mama yako hana haki ya kulelewa na yeye FINITO. ila kwa kifupi hujajua maana ya maisha ya ndoa kwa kulinganisha Mila, desturi na taratibu za kiafrika.
Umefanya uwamuzi wa busara na umeubeba kijasiri. maana daaa! unaweza amua kuwa siangalii, sinusi, sigusi wala sionji ila ndo hivyo tena mambo ya nature balaa.
Upendo unabeba vitu vingi kukuna ni sehemu tu katika upendo. hivyo unaweza kuwa una kitu potential ambacho kimefanya akupende na wewe hujui. Upendo wa kweli still upo
Nilikuwa naamini ipo siku mambo yatabadilika kila kitu kitakuwa sawa. Badala ya furaha ni maumivu siku zote. Nilikupenda, nakupenda na nitakupenda daima. upendo huu ndio unanifanya NIKUACHE UENDE. Kwani naamini huko ndiko furaha yako ipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.