Mbona wametoa,kumbe full magumashi!
http://www.utpc.or.tz/index.php/latest-news/522-daudi-mwangosi-media-support-and-development-fund-committee-convene
kuna msemo unasema kuwa 'baya 1 laweza futa mazuri 10 na ukaonekana wa hovyo" maana yangu ni kuwa iwapo tanzania itaingia katika vita na ama rwanda au malawi,basi umuhimu wa ujio wa viongfozi wa Usa na china itakuwa haina maana.
je membe kwa nafasi yake kafanya nini kwa hali ilivyo...
Membe ni waziri wa mamabo ya nje na ushirikiano wa kimataifa lakini kwa jinsi mambo yanavyokwenda hasa kwa nchi majirani za uganda,kenya,rwanda na malawi zinavyoiyumbusha ytanzania inaonesha wazi kuwa membe ameshindwa kabisa kuweka mambo sawa kwa kutumia nafasi yake.
kama ameshindwa hili je...
Bora umeleta wewe! niliwahi sema katika moja ya thread kwamba LWAKATARE hauzi tena Bukoba watu wanakiponda.
Hivi sasa Lwakatare ana mgogoro na mbunge wa viti maalum wa CDM conchesta Lwamlaza.wanachogombania ni kwamba lwamlza hataki kumuheshimu lwakatare kwa kuwa huyo mama ndiye watu wa kwaza wa...
Tatzo la ccm Kagera ni Bw Mushi huyo katibu wa CCM mkoa,ameharibu chama kabisa kwa kuendekeza makundi ndo maana wana CCM hawalipi ada.huku wakijidai wanao wanachma wenbgi wakati hawalipi ada.Huyo ni kibaraka wa Dk AMAN katika mgogoro wa MEYA na Mbunge
Safi sana,ponti za msingi,hapo tupo wote,mimi ninachopoinga kwa nguvu zangu zote na ndiyo ukweli ni kwamba kwa siasa za Bukoba Lwakatare hauzi tena! kwa suala unalosema hata mimi nipo huko,CCM imetufikisha pabaya sana lakini kwa kumtumia NDUMILA KUWILI kama lwakatare ni kujidanganya tu
Siasa za BK tuulize siye! Hivi unajua katika kesi ya kupinga matokeo ya Kagasheki Lwakatare alishindwa kesi na mahakama kuamuru amlipe Kagasheki milioni 200. Na unajua Kagasheki alikutana na Lwakatare wakakubaliana kwa siri kwamba aachane nazo(kwa makubaliano ya siri).Hivi unajua Lwakatare na...
dadangu,hoja hapa ni matumizi ya jina la mtu,vipindi vinakuwa vizuri lakini uendelevu wake ni sawa na 0.
mfano Jeneral ulimwengu alikuwa na jeneral on monday channel ten alipoacha kazi pale channel ten wakakita channel ten on monday kikakosa mashiko wakamrudisha tena jeneral ,kinachosemwa hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.