Nipo kahama, Tanesco wamepitisha waya juu ya paa la nyumba yangu, kuelekea kwa jirani yangu, na bado wiring kuelekea kwenye nyumba ya huyo jirani yangu imepitia kwenye ukuta wangu. yaaani ni hatari hatari, tumeandika barua ya malalamiko kwenda Tanesco wilaya kahama kipindi cha mwezi na nusu sasa...
Haujui panapoongelewa hapa, sio hapo posta ya zamani unapopafikilia wewe, ni huku mnara wa saa, panapoanzia 0kilomita. ndipo hiyo bustani na kaburi hilo vinapatikana.
Kuna malalamiko tumeyatoa ofisi ya Tanesco Kahama, Lakini yapata mwezi mmoja sasa hatujui kama swala linashughulikiwa ama vipi,
Naomba kujua utaratibu wenu je mkipokea malalamiko mnayatolea ufafanuzi bahada ya muda gani? au tuendelee tu kusubili hata kama jambo linaweza kuleta madhara kwa...
Mie ni mfanyabiashara katika maduka yaliyopo hapa ofisi za chama cha mapinduzi wilayani Kahama.
Hivi vibanda tumepangishwa na watu waliopewa na CCM wavijenge miaka ya nyuma (Sijui makubaliano yao na chama).
Mwanzoni mwa mwaka huu, tulipitiwa na iliyokuwa kamati ya kufuatilia mali za ccm (kama...
Inamaana Magufuli kamuogopa diwani wa chadema pale Mkula kaenda kukaa na Lijuakali wa kilombero, Suzan Kiwanga na Pr J,
mbona pointless tu hapo
Ndo maana kuna bi mkubwa mwanzoni kasema "mgazeti mreeeeefu"
Mkuu asante sana kwa kipaji hiki ulichokionyesha, wengi humu hatuwezi ni wasomaji tu, maana kukaa siku nzima unawaandika watu waje wasome kwa muda wa nusu saa tu then wanalalamika mbona cha leo "kifupi steve"? si mchezo! nami nina yangu machache
Utanisamehe najua watu wataanza "ooh! si uandike...
Mkuu naona kimya sijui ushapata, nunua Toyota Carina kama sikosei cc 1380 aizidi 1400cc, ukiweka mafuta ya 30,000 unatembea kilomita mpaka 240 yaani unaenda Moro kula bata, ukipigika kimaisha una uwezo wa kuiuza faster au ukaajili kijana anaifanya Texi unakula 120 per week.
Tena ukipata rangi ya...
Kuna clip nimeiona askari wa bunge akimsukumiza mh Mnyika pale mlangoni tena Mnyika hata hakuonyesha kupinga ndio kwanza akaweka kaunda suti yake vizuri huyoo maskini akaondoka zake, kilitaka kunitoa mchozi kile kipande.
Hata hao waheshimiwa waangalie pia nguvu inayotumika ni kubwa na isiyo na...
Wewe naona ndio haufatilii kabisa siasa za marekani, alichokiongea ndicho anachokitenda, ukuta unajengwa mexico na marekani, taratibu za kuiondoa obama care zimeanza, bado kupigwa marufuku waislamu kuingia marekani n.k n.k
Bongo Fleva, Bongo Movie hakuna Mme wala Mke, Usijifu umepata mke au mume kutoka katika fani hizo umeliwaaaa. Nadhani walioweza ni Marlaw na Besta na labda H Baba sijui.
Namsikitikia Penny wa Diamond, ni bora angetafuta Mwanahabari mwenzie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.