Wakuu leo ilikuwa ni siku ya harusi ya aliekuwa mchungaji wangu.
Lakini katka hali ya kushangaza,,
Bibi harusi hajaja kwenye ukumbi wa harusi.
Yaani sendoff imefanyika kwao jana alafu leo siku ya harusi mwanamke ameingia mitini.
Cm inapigwa hapokei.
Maandalizi yote yalikuwa tayari yamefanyika...
Unajua kuna tofauti kati ya kukata tamaa na kukubali matokeo.
Katika maisha unaweza ukazaliwa mzima kabisa yaani sio mlemavu wa kiungo chochote cha mwili, na ukaona mtu aliyezaliwa mlemavu labda ni kama ana wakati mgumu kidogo maishani tofauti na wewe kumbe sivyo.
Sasa kuna wakati mtu unapitia...
Kuoa na kuanzisha familia ni moja ya hatua muhimu zaidi kwa kijana.
Kwa kua ni hatua muhimu zaidi basi umakini zaidi unahitajika hasa katika kuchagua mwenza sahihi wa kuanza naye safari hiyo muhimu.
USITUMIE HISIA, TUMIA AKILI
Katika kuchagua aina ya mwenza unaemuhitaji tumia zaidi akili...
Karibuni kila mzazi anafanya kila awezalo kuwekeza kwa watoto wake kielimu,kiuchumi ,kijamii kiimani na wengine kisiasa.
Hilo ni jambo jema na muhimu sana.
Lakini, wengi wanasahau kuwekezo KIROHO _kuwekeza katika matendo mema
Hii leo kuna watu wengi wanahaingaka sana maishani kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.