Kawaulize UVCCM hilo swali lako.wapo kisonge pale karibu na kanisa.na mm nakuulza ni mara ngapi waislam wanadai haki zao na hawapewi?uislam upo tangu zamani znz na makanisa pia.hivi ww hata hutumii akili km kweli waislam ndo walovunja makanisa kwann wasiyavunje tangu enzi hizo wkt 99% ya waznz...
Unajua characteristics za majambazi wewe?majambazi si nyie na uyo nape wenu?mana naona hata hamjielewi.mara munamponda uyo nape mara munamsifia so which is which?hebu kaeni kumoja mujulikane!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.