We mleta mada,
Unatumia kuran alafu unasema ni uthibitisho toka kwa Mungu.
Mungu gani hana muda na watanzania hadi watu toka nje ya nchi yetu ndio waje waseme eti jamani kuna mungu alafu wewe utegemee sisi tupokee tu hicho kitabu kilichoingizwa nchini kwetu eti kwasababu tusipokipokea tutaitwa...
Nasema hivi baada ya kuona nafasi za wanawake zinapokonywa na USA na nafasi hizo wanakabidhiwa wanaume waliokata uume huku feminists wanaokuwaga mstari wa mbele kwenye kila nchi kupigania usawa wa kijinsia wakiwa kimya.
Mwaka huu 2022, gazeti la USA today lilimtaja mwanaume aliyekatwa uume...
Kuona illusion sio hadi uwe umelewa.
Inatokea. Ni hali ya kawaida inayotokea mara chache kwenye maisha yako.
Na ikitokea sio rahisi kugundua kama ni illusion au ni reality.
Hivyo, wala usuogope. Mda wa illusion wewe ubongo wako unapokea kama reality
Wala sisemi unadanganya, ila uone kuwa ni...
Uliona kitu inawezekana, ila ukapata illusion labda kutokana na woga au tu mwanga ukaakisi vibaya kwasababu ilikua ni giza ikawa rahisi kupata illusion.
Hatukatai kwamba uliona mchawi, ila ilikua ni illusion na wala hakuwa mchawi kweli.
Ubaya wa historia kuhusu wakoloni huwezi kuthibitisha kwamba wamissionary walikua na nia njema. Utanipa tu story na wewe ulizodanganywa.
Wewe unathibitisha vipi yesu alitoa hayo maagizo zaidi tu ya kusimuliwa hadithi na kupewa biblia ambazo ni madai ( claims) ya watu kuwa ni neno la Mungu.
Yani...
Ingawa hayupo sahihi.
Maana waislamu wana shahada.
Ukisema tumezaliwa waislamu unamaanisha hakuna ulazima wa shahada.
Kwamba hata ukimuabudu Krishna na kutomkubali Allah bado wewe ni muislamu tu kitu ambacho si kweli kutokana na mafundisho ya uislamu.
Sawa!
Ingawa ukweli upo wazi, Tanzania uislamu tumeupokea. Haukuanzia Tanzania. Sasa sijui unataka evidence gani kuthibitisha kwamba uislamu haukuanzia Tanzania.
Ila, anyway. Kasome zaidi ya kitabu kimoja.
Usiiweke akili yako kwenye boksi kwamba kuna kitabu kimoja cha dini na kung'ang'ania dini...
Jina lake!
Dah, mimi kweli nikalili majina ya watu walioleta dini yako, sina kipaumbele na hicho kitu.
Ni watu nje ya Tanzania yetu ndio wakwanza kuwa waislamu.
Tumepata dini toka kwao.
Majina ya waislamu nje ya nchi yetu yakariri wewe ukipenda.
Huelewi chochote kuhusu fizikia.
Hii ni kazi ya walimu wako, mimi unanichosha tu kufundisha maada ni nini.
Wala Allah hajasema chochote kile.
Hayo ni maandishi tu ya watu wakidai Allah kasema nini.
Wewe huna uwezo wa kuthibitisha kama huyo Allah yupo na kama kweli alikuambia yeye yupo mmoja...
Na kingine, jiulize ujiulizavyo utagota tu kwenye swali moja kubwa ambalo haijalishi utatoa jibu gani huwezi kuthibitisha.
Wote tutafika hapa: je kama kuna Allah alitokea wapi na kama aliweza kuwepo kwanini wasiwepo wengine kama huyo Allah unaeambiwa yupo?
Na mimi ntagotea hapa, space na...
We jamaa, una elimu gani?
Maada asili yake ni atoms.
Atoms hazina mwisho.
.
Hapa naona tutakesha.
Hii ni elimu ya darasani, naona huna.
Napoteza muda wangu kufundisha vitu vya shule ya msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.