mama kikwete ana NGO's yake inahusika na wanawake wenye virusi vya ukimwi awa watu wanakuwa na vigezo vya kuingia chuo kama wengine ila wenyewe wanapewa mkopo asilimia mia na vyuo vyote tanzania wapo
kiukweli una kurupuka kisa kulea mtoto kazi ndo muwe mnatuheshimu ata ivo nakuombea heri kutafuta uyo mke ningekuwa mm ndo wewe ningekuwa na subira sasa ivi utapata wa kukutesea mwanao
niko tofauti mi niko mbeya ila c mzaliwa wa uku kiukweli wanawake wa mbeya wamejaliwa shepu hips na nyuma usiseme na asilimia kubwa wako ivo ila kwa sura kawaida sana
mapenzi uwazi jamani kuzungushana ilikuwa zamani mi ukinifuata nikakupenda nakubali kikubwa kupima ukimwi na kibaya wanaokubali wanaume wakati wapo kwenye mahusiano
samahani kama nitakuudhi unasema hujapata mnaoendana na wao ujue wenye status kama yako wameona huwafai tatizo umekuwa mchaguaji sana ata ukitongoza wewe inaonyesha hamtadumu miaka 27 hujaona mtu alafu ukute elimu yenyewe degree tu sifa nyingi kwa ushauri tafuta mwanaume ambaye sio tegemezi yani...
kiukweli yeye anakazania kwanza atoe mimba maana hajuiafanyaje mwanaume kaama na mkoa kiukweli kachanganyikiwa kikubwa ni ushauri kwao anashindwa kurudi na mimba nipo nae ninapokaa
nina rafiki angu nasoma nae chuo ndo tunaingia mwaka wa tatu anatokea familia ya kawaida ila wazazi wake waliweza kumlipia ada mwaka wa kwanza then wakashindwa akapata mwanaume akamlipia ada mwaka wa pili juzi juzi kamtumia msg kuwa ameoa na hamtaki na uyu dada ana mimba changa mwanaume...
wa kyela wana dharau usipime wivu usio wa mana na wanaume wengi hawajatahiriwa na wana mila ngumu mi mnyaki sikushauri japo c wote ila wengi hatari umalaya ndo mmmmh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.