Mh Hk mimi siamini unayoyasema ila nakukumbusha kuwa sisi watu wa Tabora ukiacha mh Sitta ambaye ni Waziri tulikuamini lakini tumekuondoa na hautetei wanyonge bali CCM na WAMA.
Hii ni indicator za usahihi wa kura zenu za maoni, unaogopa kukutwa na yaliyomkuta mtetezi wa haki mh Lucas Selelii...
Natambua dhamira njema aliyonayo mleta thread, lakini hoja ya msingi si vikao. Hoja ni bunge kupunguzwa kwa kuondoa; (1) Viti Maalum, (2) Nafasi 5 za BLW. Aidha mtoa thread hajaelewa nini anakusudia kwa tafsiri ya Bunge.
Kwa mujibu wa kanuni za kudumu za Bunge toleo la 2007, kikao cha bunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.