ila izo shape wakati mwingine mi nadhani ni kujitafutia magonjwa ya moyo tu.maana ni sawa na mti uliosheheni matunda kila mtu ataokota jiwe. Aa ya nini yote hayo...kitu normal tu ila mashamsham kwa sana.
:nono::nono::nono::nono::nono:
hapo mama amenena,wala sina la kuongeza.ila simuamini sana kwani sikumuelewa ktk sakata la madaktari kutokana na yeye kutozitambua haki za wananchi wasio na hatia (wagonjwa) kwa kuwa mstari wa mbele kuhamasisha mgomo.
ili shwari :yaliyopita si ndwele....., safisha file. :A S 39::A S 39::A S 39:
Mi nadhani ungefunguka tu kuwa,yeye huenda hajaona cha kujifunza ama kuchukua kutoka tanzania.Hivyo hakuna cha kumrazimisha kuijua.lakini ninavyomjua mkenya anajiona yuko juu africa mashariki.huo ndio ukweli.:A S 39:
huenda mi nikawa na mtizamo tofauti kidogo na wadau wangu waliotangulia,
ivi dent atakapoona mambo hayaendi darasani na akaamua kuingia kwa mdau anayefundisha tiution tena kwa gharama binafsi sidhani kama amekosea kwakua wengine wana mapokeo tofauti na makundi ya kujadili.pia utakuta kundi hili...
ukweli kuwekwa bayana sio jambo baya,tena ni jukumu la kila mtanzania kuakikisha gurudumu hili linasonga mbele kwa kufanya mambo ama maboresho katika masuala ambayo yanaonekana kuwa ukuta katika kuboresha huduma kwa jamii.suala ninaloliona hapa mbele ni utambuzi tu kwani mtanzania wa leo sio wa...
Inaonekana wazi hoja hiyo inatokana na hisia binafsi,kwani ukweli kuhusu kutokufika kwa hao waalikwa haujautambua.sasa sijui unataka maoni gani? Au na sisi tuanze kuhasi kama wewe/////
Wana JF naomba mawazo juu ya hili.
Kuwa na idadi kubwa ya vyama vya siasa nchini ndio kipimo cha kukua kwa Democracia ?
Ama ni; 1.Njia ya kuharibu upinzani mkubwa ?
2.Njia ya kuwagawa watanzania ?
3.Njia ya kuvunja nguvu ya wapinzani ...
Huenda wenzetu nchi hizoooo..baadhi yao hufanya mahusiano haya kuwa ni mkataba wa kipindi fulani
hofu na mashaka ni kuogopa kufikia hapo ktk mizozo,kuchukiana n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.