Tathmini ya Athari za Kimazingira (Environment Impact Assessment) ndiyo itakayotoa ufafanuzi wa kina kufanya uamuzi wa ama kuchimba au kutokuchimba mafuta kutoka ziwa Nyasa, kama yapo.
China National Gold, the state-owned miner, is in talks to buy Barrick Golds stake in London-listed African Barrick, in a move that could lead to a full takeover and underscores the interest of Chinese miners in acquiring international assets.
Canadas Barrick confirmed on Thursday that it was...
Serikali wanampango wa kuongeza wigo wa kodi kupitia ving'amuzi. Si vibaya lakini inaonekana kama hawajajipanga. Sasa watu itabidi wanunue ving'amuzi zaidi ya kimoja ili kuweza kuangalia chaneli zote za ndani. Hizi zote ni gharama zinazoweza kuepukwa kama wangekuwa wamepangilia vizuri.
CRDB mbona wana nafuu. NBC ni unoko mtupu, ATM access ziko blocked mpaka uwe umeupdate account yako. Kibaya zaidi hawajali uko wapi kwa sasa, ukitaka wakufungulie inakubidi ukakamilishe taratibu zao tena kwa kurudi kule ulikofungulia akaunti. Taratibu zao ni ngumu sana kulinganisha na benki...
Una tatizo la kuangalia sana porn. Mbona 5.5 inatosha kukupa sizeable thrust bro. Halafu hiyo size ndiyo average kwa wanaume wengi tu. Kama ingekuwa 4 au less hapo ungekuwa sawa kwa sababu with that size huwezi kupata thrust yaani inabidi unase kama kupe huku unasikilizia before you go blast:lol:
Walimu? Basi itakuwa pesa yao inatoka fasta fasta na kwa masharti nafuu. Kwa walio wengi huangalia tu shida yao ya sasa kwa mfano kununua baisikeli, cherehani, bodaboda, bajaj na kadhalika bila kufanya tathmini kujua jinsi gani wamejipanga kulipia mkopo na riba.
Sio lazima ngono lakini kiukweli "kufahamiana" kabla ya ndoa ni muhimu sana kwa sababu unapata fursa ya kufanya masahihisho pale ambapo ulikuwa unakosea. Kwa mfano hiyo hali aliyokumbana nayo jamaa ingeweza kuepukika.
Simba, habari kaka. Siku hizi versus zamani?? Siku hizi tendo la ndoa sio burudani pekee iliyopo kama ilivyokuwa zamani. Halafu pia siku hizi watu wako busy na maisha in many fronts, wanahitaji muda wa kutosha kulala/kupumzika ili kujiandaa kuikabili kesho. Kugaragazana usiku kucha huo ni ukale...
Actually, I was to ask the same questions. I had a girl friend ambaye siku nampiga chini alikuwa akilalamika kwa nini namuacha while she is doing her best. In fact yeye alichokuwa akifanya ni kuguna guna tu akiichukulia miguno kama ndiyo maujanja. Yaani, mpaka kufikia hapo niliweza kudumu naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.