Wahasibu na maauditor wenzangu.Dada na kaka zangu,je twaweza kusema HAPANA kwenye wizi wa mali za umma,Fedha za Umma,Rushwa na ufisadi?
Hebu tuiangalie hii article kama chakula cha leo cha UBONGO wetu.
Karibuni nyote
African accounting conference hears stirring calls to fight corruption...
Ningependa kuwafahamisha nudgu zangu wanao kataa kuwa hakuna rushwa kwenye mshirika yetu haya hayajalishi ni ya kimataifa au la.
Nimefanya application ys nafasi moja ya kazi on line (Brightmonday) yenye job ID 71305,leo nimekuta kwenye in box yangu mtu kaniandikia meseji ikisema kuwa nimmwambia...
Ninaishi kwenye mazingira ya kijijini na kuna incidence imetokea na kwa maelezo ya jamii niliyonayo wanaona kwa mtoto au mtu mzima kubakwa ni kitendo cha aibu na kwenye jumuia hii mtoto/binti anatengwa na kuonekana hafai na ili kuficha siri wazazi wa muadhirika na kijana/mwanaume aliyebaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.