nikiwa na uchungu mwingi moyoni NAUNGA MKONO HOJA
bila madaktari kugoma tena ile kisawasawa serikali haitawatendea haki hence watatuhudumia ovyo ovyo mwisho wa siku COMPLICATED matatizo ya afya hayataisha
sorry kwa kubadili sredi
Katika Bunge la Tanzania tokea lianzishwe halijawai kuwa na kilaza anayemzidi LUSINDE kwa ukulaza
Mama mzazi wa LUSINDE nadhani anajiskia aibu kila huyu mwanao anaposhika kipaza sauti
yaan hata kama nguo umeinunua jana Nairobi MWANAUME wa Dar hutakawia kumsikia akisema, huo mvao kama ule wa demu wake mjomba wangu wa Sinza anayefanya kazi NMB.mwanaume anajua mivao ya wanawake kuliko hata demu wake
tatizo la vijana wa dar ni stori makers tu, mara ikishindikana ntamtuma Muddy aende Commorro ila huyu anayetaka kumtuma Muddy commoro kila siku anakubeep.
mbona mikoani hawashangai najipitia mtaa kwa mtaa, uchochoro kwa uchochoro
hawa wa dar hawana issues zaidi ya kuwalinganisha wanawake wawaonao mabarabarani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.