Umeongea taratibu na vema sana mkuu Petro E. Mselewa sidhani kama kuna mahali utakuta mjadala "serious" juu ya nani ni nani kati ya hawa. Sikumbuki hata wao kuleta hoja ili kumtweza mwingine, mara zote hushindana na kurekebishana kwa vifungu katika kada yao. Asante
Hii habari sijui kwa nini imefunikwa kiasi hiki. Naamini nguvu ya kutosha imetumika kuminya wana habari wasiiweke wazi. Huyu marehemu amepigwa na kuuwawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes! Faida yake ni pale kazi nayo ilikuelewa, baadaye utatumia rasilimali kidogo mno, time, fiscal, physical etc
Me huamini this is an art [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Samahani, una umri gani? Hebu fanya mazoezi ya kutongoza mkuu, unaulizaje maswali haya JF? tongoza kila unapopata fursa, hata Kama hutopiga kazi, itakupa experience Sana.
Sidhani Kama namaliza mwezi sijatongoza kazi mpya aisee, siku nikiamua hasa kupiga kazi, mara chache mno nahangaika
Mkuu Sexless bahati (mbaya au nzuri) muhula huu tuna mwenyekiti anayeongozwa na hisia zake zinamwambia nini, weather zinakera ama la! Akiambiwa (na hisia zake) nunua ndege, kesho anaagiza ndege kuulizana kutafuata Baadaye, akiambiwa (na hisia zake) mamichango yanakera wapiga kura, kesho anapiga...
Kuna miaka hapo nyuma kidogo, kanda ya ziwa ilionekana kutengwa sana katika mgawanyo wa keki ya taifa.
Kanda ya Ziwa ilioneka na ilikuwa nyuma sana katika nyanja zote, huduma za jamii zilikuwa ovyo sana! Afya, Elimu, huduma za maji, umeme, miundombinu pia ilikuwa ovyo mno!
Nakumbuka mara...
Umeongea vema sana mkuu, kwa masikio yangu nikamsikia mkuu wa shule akisema, "afadhali, muda umefika sasa, siwezi kukaa na yule........., lazima aende zake!"
Sad ni kwamba akili kama hizi ndizo tumekabidhi nchi, yaani watu wanaowaza kama wewe ndio wanaoongoza nchi. Typical! Mh mbunge wa Kigoma mjini aliwahi kusema tumekabidhi nchi kwa washamba! Yaani watu kama wewe!
Hakuna mipango, watu wanalala, wanaamka, wanatoa matamko, wanafoka, wanakebehi...
Kwenye kuaga mwili wa marehemu binti yetu juzi (apumzike salama) kuna kundi la vijana waliovalia Kaunda suti nyeusi waliojichanganya katika waombolezaji, walienda mbali zaidi na kuchukua jukumu la kunyang'anya mabango yaliyokuwa yamebebwa na baadhi ya wanafunzi!
Kwa haraka kila mtu wa "kawaida"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.