Acha kuwa na paranoia
hivi kweli mtu akili yake akamuue Dr Slaa au Lowasa au wanasiasa yoyote ile Tanzania?
TRA can easily do the job bila kusahau anti-terrorism act
lakini muhim zaidi ni kuwa its not in the state interest kuwamaliza hawa watu kwa kifo ..... dawa ni kuziba mirija ya pesa...
Kama Slaa alikuwa na dreams za kuwa rais wa Tanzania
sembuse huyu Nyalandu?
lakini tofauti ya slaa na nyalandu ni kuwa walau slaaa aliingia ulingoni
wakati Nyalandu anawatapeli wanafunzi toka jimboni kwake na kaamua kuoa GOLD DIGGER/Ma*****ya
acha kutufanya sote wajinga humu
No one is asking for much
alipokuwa anagombea umeya wa wa Ilala alijua kuwa anagombea umeya wa wilaya iliyotajiri kuliko zote tanzania
bila kusahau kuwa alitoa ahadi kem kem za uchaguzi
watu wanauliza program yake ya kuibadilisha ialala iko wapi?
je...
Uchaguzi uliopita an-kal wake mzee Makamba (mama yake Omari Kimbau na Yusuf Makamba ni ndugu) alijitahidi sana apate ubunge kwa mlango wa nyuma lakini wana Mafia walisema kuwa kamama CCM ya Makamba ikiamua kufanya hivyo wao watawapa jimbo CUF ikabidi jimbo apewe aliyekuwa mgiganaji wa waasi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.