Ufahamu wako ungekua mkubwa ungejua pegylated inteferon inafanya nini. Na pia ungejua dawa nyingi ambazo zimeshawahi kutumika zenye clearance na seroconversion rates tofauti. Pia watu wengi wanaambukizwa kwa kujamiiana, ndio maana co-infection na HIV ni common, pia kupitia blood products na...
Mtoa mada unaupotosha umma wa watanzania. Si kweli kua watanzania wote wana virusi vya homa ya ini. Na hakuna duniani nchi ambayo wananchi wake wote wameathiriwa na hepatitis B virus.Hakuna survaillance iliyowahi kufanyika nchi nzimà, lakini kuna tafiti mbalimbali zimefanyika kuangalia ukubwa wa...
si kweli kua unatakiwa kulipia kwa mpesa pekee. utaratibu huo umeanza toka mwezi wa nane mwaka jana, na unaweza lipa kwa mpesa,tigopesa,airtelmoney na maxmalipo
upo mkoa gani? kama upo dar, mpeleke muhimbili. wana kitengo maalum cha kuhudumia matatizo hayo. kama upo mbali jaribu kutafuta hospitali yenye daktari bingwa wa watoto utaweza kupata msaada.pole sana.
wanatoa majibu rahisi hivyo? kweli huwa tunailaumu serikali kwa utendaji mbovu, lakini lawama hasa zilitakiwa ziende kwa wafanyakazi husika . baadhi ya wafanyakazi wa serikali (inaweza ikawa wengi wao) utendaji wao ni poor kabisa.utafikiri hawana qualification. wamejizoesha kufanya kazi bora...
pole sana ndugu. kama mchangiaji alivyo comment hapo juu, ni vyema ungeongeza details kama gender ,age, elimu yako na ujuzi ulionao, why uko lonely? je huna ndugu au rafiki wa karibu? ushauri wangu kwa kuanzia unatakiwa ujitoe katika kifungo cha kisaikolojia . naona hata jina umejipa 'the need'...
4. Eti sio vizuri kumuongelea mtu akiwa kafa - huyu aliyetoa hii nafkiri hata form 4 hakufika au kama alifika hakuelimika! Wewe kiongozi wako anakufa bila kuelezwa sababu unasema watu wasiulize. Hehehe. Kuna akili zingine hata pakuanzia kuform arguments nazo huoni.
Kuna kitu tu hapa kwenye...
Tangazo lake liko very clear kua atakabidhiwa apartment yake, iliyopo ubungo nhc. kwa taarifa tu incase huna ufahamu huo, nhc waliuza apartment zao ambazo zilikua kwenye ujezi.kwa sasa ndio zinakamilika.Tujifunze kusoma vizuri tangazo kabla ya kuanza kushambulia mkifikiri mnaonesha ujuaji wenu...
Kadoda wewe umeshawahi kupigania haki yeyote? Ulifikia wapi katika mapambano yako? Usifikirie kua kudai haki ni kitu rahisi hivyo. Tusiwakatishe tamaa wapiganaji wakat wewe unakaa oficn unacomment tu watu wana risk maisha yao kwa ajili ya wengi. Hali ya afya Tz ni mbaya kuliko unavyoweza...
nafkiri ungechukua mda kufikiria vizuri kabla ya kuanza kulalamika. nini maana ya kwaya kwa jinsi unavyofahamu wewe? je kwaya hiyo inatangaza injili? si ajabu kwa taasisi yoyote kua na kwaya. ccm wanayo kwaya (TOT), vikosi vya jeshi navyo vina kwaya, shule za sekondari zina kwaya pia. zote hizo...
Alafu najiuliza msafara wote wa walinzi wakati mtu mwenyewe kucha yuko misibani uchochoroni. Kweli ulinzi una kazi pale? afadhali angekua anajiachia tu mwenyewe. Kama watu wangekua na nia mbaya naye wangeshammaliza misibani, maana ameshajulikana type ipi ya misiba lazima atie timu so watu...
Naomba ushauri kwa wenye utaalam ni aina ipi ya acoustic guitar nzuri inapatikana madukani hapa dar na ni vitu gani vya muhimu kuangalia wakati wa kuchagua guitar.Mimi si mtaalam, just najifunza tu na ni kwa matumizi yangu binafsi ( sio kwa ajili ya public performance ) . thanks!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.