Kauli hii ilitamkwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, siku wanaccm wazalendo wakichoka dhulma dhidi ya wanaccm maslahi ndipo nchi hii itapona, kwa sasa tuendelee kunywa mchuzi nyama tutazikuta chini.
Kuna kundi halilidhiki na mwenendo wa CCM ya sasa, wanaona miiko...
Hawa wanaojiita wapinzani, si wapinzani kiuhalisia, ni wachumia matumbo, kuna fungu wamepokea toka kwa wana-CCM majizi kuleta taharuki.
Badala ya sisi wananchi kujikita kufuatilia mwenendo wa serikali katika kutimiza wajibu wake na kuibua madudu, tumeletewa waliomegewa tonge, kazi yao ni...
Nakumbuka wananchi waliwaamini sana,lakini hayati Magufuli alituthibitishia watanzania ya kwamba nchi yetu ina wapinzani maslahi na si wanasiasa wenye lengo la kuwasaidia wananchi.
Hayati alianza kwa kasi kubwa mkasema anaiga ilani yenu, tukasema kama ni hivyo basi sawa unganeni nae tuivushe...
Niko hapa kushuhudia hili tukio la kujaza maji bwawa la Nyerere, katika yaliyojiri mojawapo ni hili tukio
Njooni tubadilishane uzoefu ya makofi haya mengi japo waliosimangwa kwenye mkutano mkuu wa CCM uliopita kutojumuika kwenye hili tukio.
Lula ilinyoosha mstari barabara,wezi wa mali ya umma hawakuwa na amani hata kidogo,wazembe,wavivu habari waliipata sawasawa, viongozi wababaishaji walipigwa grill vya kutosha
Kiongozi wa sasa anageuzwa geauzwa kama chapati na vipanga.
Hapa nilipo tupo giza,umeme umekatika toka asubuhi na mpaka...
Rais Samia ogopa sifa za wanasiasa,zimejaa unafiki wa hali ya juu sana,wengi wao wanatarajia teuzi,wengine ni wasiadizi wako wanashindwa kutimiza majukumu yao, wanajificha kwenye kichaka cha kukupamba wakati uhalisia si kweli.
Fanyia kazi maoni ya wanaozodolewa kupitia watu makini utajua nani...
Bashiru Ali kasema hadharani bila kupepesa macho wala haya kusema kinachofanyika kwa wakulima wadogowadogo si sahihi na kuna haja ya watawala kufanyia kazi mtazamo wake,sio kutumia nguvu kuzima hoja yake,tena kwa kumkejeri.
Ni wachache nchi hii wenye uthubutu wa kuzungumza kama alivyofanya...
Nakumbuka Rais Samia alipongeza mabadiliko ya uongozi Tanesco kwa kuondolewa wana taaluma na kuingiza kundi la wafanyabiashara na watu wasio wajuzi wa kitengo,matokeo ndio haya,yanayoendelea ni aibu kubwa sana,
Imekwisha fahamika lengo la kuondoa management ya wabobezi wa fani ilikuwa ni...
Uongozi si lelemama,hasa kwa yule anaetaka kupendwa
na kila mtu.
poleni,wamachinga,mama ntilie,wafanyakazi wa umma,mambo bado,rais anategemea baadhi ya washauri wahuni kutatua kelo za wananchi
Sina shaka na dhamira yako njema ya kutafuta pesa kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.
Lakini ndugu Rais hebu punguza safari za nje kidogo ukae ofisini kufuatilia matumizi ya hizo fedha ,umekopa pesa nyingi sana ndani ya muda mfupi ,sasa tulia ufuatilie matumizi yake kama zinatumika kwa...
Hii taasisi ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi na usalama wake kwa ujumla
Taasisi hii ikiwekwa mfukoni na watawala wanaokiuka viapo vyao, wakishirikiana na wafanyabiashara wasio waaminifu, raia wa chini ndio wanaoangamia, na raia itafikia muda watachoka, wakichoka ni machafuko tu.
Nchi...
Nikwambie tu, hautafanikisha lolote katika utendaji wa hawa vijana ,uwezo wao kiuongozi na kiutawala ni too low sana ,wanatembelea nyota za wazazi wao,
Kitendo cha kumtoa Palamagamba,Lukuvi ,na msomi makini Kitila Mkumbo ni uoga wa kupandikiziwa .
Angalia wizara ya nishati inavyochezewa kwa...
Ile dhana ya ccm ni chama cha wakulima na wafanyakazi ,na ya kwamba ni taasisi ruksa kwa mtanzania yoyote kujiunga na kugombea nafasi ya uongozi imetoweka na Nyerere.
Ili taka kurudi kwa hayati Magufuli kwa sasa imeshindikana. Lazima ufahamike na huo ukoo ,kadhalika nguvu zako kiuchumi ndio...
Hivi ni kweli badiliko hili la Mawaziri lililenga kuondoa wanaojipanga kwa urais 2025?
Unawaonyesha Watanzania ya kwamba Kitila Mkumbo na Waitara ndio waliokuwa wanautaka urais?
Ukweli ni kwamba ulilenga kuwaingiza watoto wa wanaccm waandamizi ambao wana influences kwenye utawala wako .
Huko...
Kila kitu holela, bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana, serikali imeshindwa kazi, ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Zoezi la chanjo limekosa mwitikio kutokana na viongozi wanaolisimamia na kulipigia kampeni zoezi hilo kuonekana ni wanafiki wasio kuwa na misimamo,na hii ni kuanzia kwa Rais Samia mwenyewe.
Kauli walzozitoa kabla ya hayati Magufuli kufariki na walizozitoa baada ya hayati Magufuli kufariki ni...
Kama ilivyo ada ,mchina haaminiki kabisa ,mfano ni nchi jirani ya Zambia yaliyotokea wote mnafahamu.
Hisia zangu zinaniambia kwa kuwa mradi huo ni mkubwa sana eneo hilo, na unagharimu pesa nyingi sana, katika namna ya kulipa hilo deni kuna hatari ya kuhakikisha bandari zetu za Dar na ya Tanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.