Nini nchi ilifanikiwa ujio wa hao washenzi?,vyandarua?
Tumieni akili kidogo mungu aliyowazawadia kupambanua mambo,
Ndani ya muda mchache rais hayati Magufuli amefanya Makubwa bila ziara za hao LBGTQ
Leo umeonyesha kuchukizwa na watendaji wako,lakini bila hatua madhubuti za kuchukua utaishia kulalama na kuvuna mabua tu.
Watanzania ukiwabembeleza ndio umeharibu kabisaa.
Ngoja tuone mwisho wa hii segere
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.