Nashukuru sana ndugu kwa kutufungua macho lakin ingekuwa vizuri sana kma ungetuambia njia zipi zinazotumika kupa hizo nafasi za kwenda kusoma huko ughaibuni.
Hata mm kma ningepata msaada wa kujua kiasi cha pesa tunachotakiwa kupewa ingekuwa vzr sana maana unaweza ukapewa hela kdogo alafu ukaanza kuutabika.so 2naoomben msaada wa kujua hlo kwa wale wazoefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.