Eti kuna chalii wangu last year alifeli akarist akapiga for ya 30 c mbili za histry na languaje pamoja na d moja hayo mengine f sasa huyu chuo anakwenda
Wadau jamani mbona me hamnisaidii for ya 30 private candidate
c ya histort na english na d ya kiswahili hapa itakuaje anaweza kwenda form five alafu dis year afanye rejista apige 4 akitafuta hiyo moja au aende chuo na kam chuo ni chuo gani
Helloo Nijuavyo mimi bado mgeni humu ila nahitaji msaada wa kujua mambo machache kuhusu machafuko ya nchi nyingi duniani kuhusishwa na free masons je hawa jamaa ni akina nani asili yake na malengo yake me ndo hayo tu
Helooow sada kama mtu yametoka hivi
geo:f
eng:c
engl lit:f
civs:f
bible:f
hist:c
kisw:d
yeye itakuaje na chuo labda fani gan anaweza chukuliwa na ungevtaja kwa mfano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.