Mapacha wako wa aina 2 ambazo ni Identical Twins/wanaofanana kwa kila kitu yaani jinsia,rangi,urefu/ufupi etc na wengine ni Fraternal Twins/wasiofanana kwa kila kitu mfano mmoja anaweza kuwa mvulana na mwenzake akawa msichana au jinsia moja wote lakini huwa hawafanani hata kidogo. Kupatikana kwa...
Inaonekana huaminiki kwa mkeo, jitahidi ufanye juu chini uaminike tu kijana. Mimi mwenzio nina miaka 25 sasa ktk ndoa na sijawahi pata tatizo kama hilo la kukabwa kiasi hicho!!!
Ha ha haaaaa.....pole ndugu yangu nahisi umetendwa na hawa viumbe.. Let it go bhana,fanya mambo yako ya muhim maisha yanaendelea. Omba Mungu akujalie kumpata Super woman na sio hao bandia!!
Wakora waitu Kokubanza, age is nothing bhana its just numbers. True love haitegemei na age. Binafsi sioni tatizo la nyie kulingana umri as long as mnapendana. What matters most ni do you really love him na yeye anakulove sameway???
BRN ni politics at work, tunahangaika na kuwafaulisha kizembe wanafunzi bila kuboresha mitala ya elimu kwanza, mazingira ya kielimu bado mabovu, shule nyingi hazina nyenzo muhim kama maabara etc , shule hazina madawati, watoto wanakaa chini darasani, mazingira ya kazi kwa walimu ni mabovu...
Sidhani kama ulitakiwa ukasirike pamoja na ndugu zako eti kisa ndugu zenu wawili wamezuiwa mlangoni kwa sababu walizidi idadi mliyopangiwa na upande wa mwenzako.Hii inaonyesha nyinyi mlikosa ustaarabu kwa kuja wengi kuliko budget ya wakwe zenu.Ndoa yahitaji uvumilivu wa hali ya juu dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.