eeh bana eeh kwel nchi yetu maskin hata me naona, dah yan watz wote tunaonekana hamnazo, sifa za kwenye media zimetulevya wenzetu wanapiga hatua lol ungekuwa uwezowangu ningefanya vinginevyo, ila no sweat mambo yamekaribia ukingon mana nawaona hata wenye mashangingi skuiz wanaona haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.